Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

100% polisi ndiyo wajinga na wala rushwa. Mimi nasimama na huyu dogo, angekuwa gaidi angeua pia raia waliokuwa wanapita. Nadhani PCCB wachunguze na polisi waliokufa na waliohai wachunguzwe ili kubaini na hata hao marehemu wafunguliwe kesi ya unyang’anyi na ujambazi. Ingekuwa enzi za Magu wangeogopa hao polisi ila kipindi hiki walitaka kumuua kama akina Zombe ila dogo inaonekana yupo vizuri.

uyo magu ndiye aliezalisha watu kama kina sabaya
 
Kidogo naanza kuielewa hii ishu...
Polisi mlaaniwe nyie na vizazi vyenu.
Siwapendi kbs wasee nyie
Polisi ni hatari, maana ukiangalia mazingira ya mshikaji wala hayakuwa ya hatari. Natamani PCCB wafanye kazi na TISS wawawue kabisa askari majambazi wanatuharibia nchi. Angekuwa gaidi angaua raia maana walikuwa wengi kwenye magari. I hope kama alikuwa muislamu safi ataiona ahera kwa sababu kaua wabaya wake tu.
 
mleta mada ulivyoandika tu "sio wahaminifu" nikakuona wee ni msenge tu.
Andikeni vizuri vilaza nyie.

Halafu mtoto wa kiume unaanzaje kuandika kishoga shoga??!!!
Taratibu Mkuu.
 
Sio jambazi sawa ila mtu ambae hana uzoefu na ile mijegeje anawezaje kutumia siraha kiasi kile? Mlikuwa hamjui vizuri tu
 
Tuliza akili mkuu najua una machungu ila.ndo utuandikie kiswaKilugha?
 
IMG_0075.jpg

IMG_0078.jpg

IMG_0074.jpg

IMG_0073.jpg

IMG_0072.jpg

IMG_0077.jpg

IMG_0076.jpg

IMG_0071.jpg
 
Hilo gaidi kutoka somalia hawa wasomali tunawachekea watatuharibia nchi yetu na amani yetu
 
Back
Top Bottom