Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake ni kwamba kama angelikuwa muuaji basi angeanza na huyo aliyezunguushiwa kiduaraUyo uliemzungushia duara ndio nani?
Hata mi nashangaa,kujua hiyo picha ni feki wala haiitaji ujuzi.wewe mshana naanza kukuona mjinga. Sasa kipicha la kuedit unaangaika kusambaza la nini?
100% polisi ndiyo wajinga na wala rushwa. Mimi nasimama na huyu dogo, angekuwa gaidi angeua pia raia waliokuwa wanapita. Nadhani PCCB wachunguze na polisi waliokufa na waliohai wachunguzwe ili kubaini na hata hao marehemu wafunguliwe kesi ya unyang’anyi na ujambazi. Ingekuwa enzi za Magu wangeogopa hao polisi ila kipindi hiki walitaka kumuua kama akina Zombe ila dogo inaonekana yupo vizuri.
Nilitegemea kukutana na vitu kama hivi,, nilijua tu hapa kwa kuwa huyo jamaa ni msomali na kavaa kibagarashia hata kama angeingia benki kuiba basi imani na ugaidi lazima vihusishwe na watu kama nyie lkn wenye chuki binafsi na imani zingine kwa mgongo wa ugaidi.Waislamu kwenye ubora wenu wa kutetea magaid.....,.,,uyo gaidi km magaidi wengine
new member!
1542
Achana na washamba wanaodhani kutumia bunduki ni sawa na kufanya upasuaji wa moyo.
Tuwe wapole, jamaa anaonyesha ana mbinu za kivita, that means somewhere alipata training, tusiwe wepesi kuhukumu polisi.tukio la huyu jamaa kufanya haya yote !
japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari !
na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!
mama kaeleza.
polisi wanaongoza kupiga dili
-askari michongo,askari sio wahaminifu,askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329
jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.
kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.
japo nilimuachia mungu
Kumbe unakuwaga na akili?Polisi ni hatari, maana ukiangalia mazingira ya mshikaji wala hayakuwa ya hatari. Natamani PCCB wafanye kazi na TISS wawawue kabisa askari majambazi wanatuharibia nchi. Angekuwa gaidi angaua raia maana walikuwa wengi kwenye magari. I hope kama alikuwa muislamu safi ataiona ahera kwa sababu kaua wabaya wake tu.
Ataisaidia polisiHuyo anae report hivo alikua nae huyo Hamza ?au alimtumia msg kumwambia yanayomsibu?
Eeh makubwaView attachment 1908362