Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

kama ni kweli hili tukio limelipaka sana jeshi la Polisi matope. Kwa kweli jeshi la Polisi linahitaji kufumuliwa.
 
Ila jamani tuache masihara hivi huyu jamaa kama hilo vazi lingekuwa ni lilile la chadema ingekuwaje embu tujaribu kuvaa hivi viatu, namna viongozi wa nchii walivyo waonevu leo Mungu kawaumbua.
Nipe namba yako nikurushie pesa ukanunue nyama na mchele ule pilau leo
 
Polisi wanamblind mama kwa kukamata wapinzani ili afurahi na wao waendelee kupiga mishe zao bila kukolomewa wala kuchukuliwa hatua.
 
Hili dude n la kibabe,,
Mbwa kala mbwa..
Jogoo kashindwa kuwikaaaa.
Ila hili shuzii lakimkakati
 
Sisi maraia hatuna kwere jombaa. Yuko na kwere na manjagu
Nasikia huko dasilamu mnapelekewa moto na toto la kisomari. Bonge huyo kawanyamazisha wanaume zaidi ya milioni moja
Manjagu wamepatikanA
 
Back
Top Bottom