Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

Mkuu kazi ya jeshi si kazi ya siasa!

Kada ya jeshi ina historia yake na kuna mambo makuu matatu yanayowapa hamasa ili kupunguza makali ya utendaji wao wa kazi mgumu na za hatari, mambo hayo ni: vita, pombe na wanawake(3w's)!

Pombe na wanawake jeshini ni ration na ukiwa "mtoto si ridhiki" jeshi hauingii, ni unfit.

Na vita vinapendwa sana na wanajeshi kuliko tunavyodhania na ndiyo maongezi yao ya furaha hayo.

Vita vikitangazwa leo, utakuta hata waliostaafu wanerejea bila shurti, kiroho safi kwa furaha tele!

Nongwa na matusi yanayoongelewa jeshini, kwa mitaani ni makosa makubwa ya jinai, uzuri ni kwamba wanafundishwa elimu ya uraia, hivyo wanaelewa ni nini cha kuongea makambini na kukiacha humo humo.

Ushawahi kuona wanajeshi wanatukana watu ovyo mitaani?

Basi kumbe wana maadili yao, ambayo sisi raia hatuyawezi kwa sababu si maadili yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka umejibu vizuri sana bro.
 
Angalia na upande wa pili mbona wasanii wengi wanaimba matusi na nyimbo hizo ndizo zinapendwa na asilmia mia kubwa ya jamii kuliko nyimbo zenye maadili mema zinazo fundisha na kuelimisha jamii,"amka you"
 
madogo wanakosa uzalendo kwa kulitusi jeshi linalowapambania hii amani ambayo inawapa kiburi cha kupost pumba...huyu angekuwa rwanda, china, russia asingefika , kesho huyu....
Pamoja na hayo wametudharirisha sana kuchapwa viboko na kina kingai huku jeshi likiwa kimya
 
Huwa wanasemaje?
Siku ukibahatika kuwaona wakihangaika na usimikaji wa nguzo za umeme, wewe piga kambi hapo😊... zuga tu kuwa unajifunza kwa kuangalia mbinu wanayotumia kubeba na kusimika nguzo bila mshine...😁 Ila hakikisha umetega masikio yako kunasa matukio mubashara!!.
 
Kama Tanesco Wakiwa Wanasimika Nguzo
Toka miaka Ile umeme ukisambazwa mijini, hao jamaa nyimbo zao zilikuwa zinatisha. Hata Leo mambo yapo vilevile. Kwa kifupi wanarithishana nyimbo hizo toka waajiriwa wa zamani kwenda kwa wapya.
 
Kangi Kangi,kangi..!
We kangi Lugola,amefukuzwa Kangi na jeshi linaendelea[emoji443][emoji445]

Hawa jamaa wana nyimbo nyingi tu si zote za matusi.
 
Ukiona watu ili wapate hiyo wanayoiita morali ni mpaka waimbe matusi, ujue wanamatatizo yasiyoonekana moja kwa moja!

Kuna baadhi ya maafisa hawaruhusu kabisa lugha za matusi iwe ni kombania, mashambani au kwingineko!
 
[emoji445]Kwa mara ya kwanza, mama naumiaaa...
[emoji445]Kwa mara ya pili wee, mdogo mdogo inaingiaaa...
[emoji445]Naskia raha, utamuu, jamani raha, utamuuu
 
Hahaha aice, kuna moja hiyo enzi posho imekawia kutoka utasikia wimbo et nipe posho yangu niende kibondo nikapambane nao wauza k... Hapo inataftwa morali tu aicee.
 
Back
Top Bottom