Nini sababu ya kuwekwa video queens kwenye video za muziki?

Nimekosa Video yake, lakini kuna video bongo yenye vixen wazuri na wengi zaidi ya hii!!?.. Ukiacha ya Bizman yenye mix

 
The girl you saw in Dimond video was the same girl in Davido video.Damn,every where I go I see the same hoe.

Ulimsikia Snoop Dogg alivyokuwa analalamika katika huo wimbo wa 2Pac?
 
Reactions: Gut
Binafsi yangu video Queens ndio sababu kuu kwangu kwa asilimia 90 ya kutizama music video.
 

Aisee mie nimependa icho kijungu, Unafyonza kijambio hapo saa nzima
 
Wimbo wa perfect combo ndo nilimfahamu vyema,mpka nikafukunyua habari zake na flovour,ololufe n.k nikabaki nasifia uumbaji tu
nlisomaga kwenye gazeti la kibongo wanasema akizaliwa, akiwa haoni hadi alipoombewa kanisani ndo akawa anaona sijui ni kweli au walinilisha matango pori
 
Jamani wanaume udhaifu wetu upo kwa Mwanamke. Angalia advert zote 90% zina picha ya Mwanamke Ili kukuvutia wewe rijali. Hata baa, kwenye ndege hadi Magu aliwasifia wale wahabeshi wa Ethiopian airline. Kwa hiyo ni Chachandu
 
Chukulia wimbo kama Masogange wa Belle 9 , je ile video ingekuwa gumzo kama asingemshirikisha Agnes Gelard?
 
bila kusahau ana asili ya SOUTH AFRIKA HUYO VIDEO QUEEN WA BAILA NA IF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…