Nini sababu ya kuwekwa video queens kwenye video za muziki?

Nini sababu ya kuwekwa video queens kwenye video za muziki?

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
Leo nimeangalia wimbo wa Diamond uitwao Baila...nikamwangalia video queen wake, nikagundua ndio yule wa kwenye wimbo wa If ya Davido. Dada huyu ametusua careerwise maana hao ni wasanii wakubwa Afrika. (Na ameshafanya kazi na wasanii kadhaa huko dunia ya kwanza)

nqobiledanseur_32647399_2489464101078995_6823705643153620992_n.jpg

Nqobile Danseur, Video Queen in Davido's If and Diamond's Baila among her many features

Nikaanza kuwaza kazi yao inaongeza value gani kwenye nyimbo? Zaidi ya kuwaona kwenye hizi nyimbo je, wanatufanya tuzipende kwa ajili yao? Kama Diamond angekaa tu kwenye kiti na kuimba tusingeupenda wimbo? Angekosa views milioni 5 alizonazo?

Sasa nataka kuwauliza wanaume na hata wanawake mtakaopenda kujibu; Je umewahi kupenda wimbo fulani kwa sababu ya urembo, uzuri, madoido ama mapozi ya video queen? Mnadhani video queens wanaongeza value kwenye nyimbo?
 
Leo nimeangalia wimbo wa Diamond uitwao Baila...nikamwangalia video queen wake, nikagundua ndio yule wa kwenye wimbo wa If ya Davido. Dada huyu ametusua careerwise maana hao ni wasanii wakubwa Afrika. (Na ameshafanya kazi na wasanii kadhaa huko dunia ya kwanza)

View attachment 863885
Nqobile Danseur, Video Queen in Davido's If and Diamond's Baila among her many features

Nikaanza kuwaza kazi yao inaongeza value gani kwenye nyimbo? Zaidi ya kuwaona kwenye hizi nyimbo je, wanatufanya tuzipende kwa ajili yao? Kama Diamond angekaa tu kwenye kiti na kuimba tusingeupenda wimbo? Angekosa views milioni 5 alizonazo?

Sasa nataka kuwauliza wanaume na hata wanawake mtakaopenda kujibu; Je umewahi kupenda wimbo fulani kwa sababu ya urembo, uzuri, madoido ama mapozi ya video queen? Mnadhani video queens wanaongeza value kwenye nyimbo?
video Queens uongeza uzuri wa video kwa zaidi ya 75%,,, na hasa awe na chura
 
Leo nimeangalia wimbo wa Diamond uitwao Baila...nikamwangalia video queen wake, nikagundua ndio yule wa kwenye wimbo wa If ya Davido. Dada huyu ametusua careerwise maana hao ni wasanii wakubwa Afrika. (Na ameshafanya kazi na wasanii kadhaa huko dunia ya kwanza)

View attachment 863885
Nqobile Danseur, Video Queen in Davido's If and Diamond's Baila among her many features

Nikaanza kuwaza kazi yao inaongeza value gani kwenye nyimbo? Zaidi ya kuwaona kwenye hizi nyimbo je, wanatufanya tuzipende kwa ajili yao? Kama Diamond angekaa tu kwenye kiti na kuimba tusingeupenda wimbo? Angekosa views milioni 5 alizonazo?

Sasa nataka kuwauliza wanaume na hata wanawake mtakaopenda kujibu; Je umewahi kupenda wimbo fulani kwa sababu ya urembo, uzuri, madoido ama mapozi ya video queen? Mnadhani video queens wanaongeza value kwenye nyimbo?
Masogange
 
nampendaga chidnma yaani nyimbo zake ye ndo video queen daah ntakesha kumuangalia hachoshi machoni yy na SIMI kwanza jina lake linashawishi
 
nampendaga chidnma yaani nyimbo zake ye ndo video queen daah ntakesha kumuangalia hachoshi machoni yy na SIMI kwanza jina lake linashawishi
 
Nyimbo za mapenzi, zinavutia kwa maudhui ya mapenzi,hivyo zinaweka maudhui ya mapenzi.

Ndiyo maana wanawekahao video queens. Hao naona ndiyowenye umaarufu kwenye fani.

Snoop Doggy Dogg na 2-Pac katika wimbo wao "All Bout U" walishaimba hili jambo.

"Every other city we go, every other video, no matter where I go, I see the same hooo"

Hizo wamowatoto kuanzia wa Uswazi mpaka wa kishua (Najma Mohammed katika Zali LaMentali comes to mind)
 
Back
Top Bottom