BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kati ya migogoro hiyo, 22,844 ilisuluhishwa, huku 5,929 ikikosa usuluhishi licha ya kukatiwa rufaa ngazi ya Mahakama.
Kutokana na migogoro hiyo, watoto 18,922 waliathiriwa katika malezi, baadhi wakikimbilia mitaani, kuingia kwenye matumizi ya dawa za kulevya au ndoa za utotoni.