Wax wings
Member
- Sep 26, 2019
- 15
- 10
Serikali yetu kwa sasa imewapa uhuru sana kitengo cha usalama mpaka imefikia wakati wanavuka mipaka na kushirikiana na wezi au na watu wengine watenda maovu. Polisi kama tunavyoelewa ni kulinda raia na mali zao lkn leo imegeuka imekuwa kuonea raia na kunyang'anya mali zao.
Imagine Polisi anakula mchongo na mwizi kaibe sehemu fulani ukiitiwa mwanoo sie tupo karibu tutafika on time. Achana na hilo, kuna kitu ambacho mimi nashindwa kuelewa kwanini watoto wa viongozi wa usalama nao wanakuwa na vyeo wakati sio waajiriwa wa Serikali?
Majuzi nimeshuhudia jamaa kashikwa na simu siwezi jua ni ya awizi kweli au laah ila sasa Polisi wamemshika kitu cha kwanza walichomwambia tupe laki mbili na nusu ili tufute kesi, jamaa akagoma akadai aliyeniuzia simu namjua na ni Polisi fulani twendeni kwake akalipe yeye
Wakamchukua ila saa hii naongea yupo ndani anaugulia maumivu anadai kapigwa rungu kwa kosa la kumsingizia afisa. Sasa najiuliza kwani Polisi kwenye mafunzo yao huwa wanafundishwa kupiga tu hamna mbinu nyingine za kisheria wanazopewa labda uchunguzi kwanza kwa jambo walilosikia au wanafundishwa kubebana?
Yote kwa yote nchi hii kwa sasa kama huna pesa huna haki Serikali inabidi iangalie wanyonge mikoani watu wanateswa sana, Polisi wameshika mikoa kama ndio wenye nchi.
Imagine Polisi anakula mchongo na mwizi kaibe sehemu fulani ukiitiwa mwanoo sie tupo karibu tutafika on time. Achana na hilo, kuna kitu ambacho mimi nashindwa kuelewa kwanini watoto wa viongozi wa usalama nao wanakuwa na vyeo wakati sio waajiriwa wa Serikali?
Majuzi nimeshuhudia jamaa kashikwa na simu siwezi jua ni ya awizi kweli au laah ila sasa Polisi wamemshika kitu cha kwanza walichomwambia tupe laki mbili na nusu ili tufute kesi, jamaa akagoma akadai aliyeniuzia simu namjua na ni Polisi fulani twendeni kwake akalipe yeye
Wakamchukua ila saa hii naongea yupo ndani anaugulia maumivu anadai kapigwa rungu kwa kosa la kumsingizia afisa. Sasa najiuliza kwani Polisi kwenye mafunzo yao huwa wanafundishwa kupiga tu hamna mbinu nyingine za kisheria wanazopewa labda uchunguzi kwanza kwa jambo walilosikia au wanafundishwa kubebana?
Yote kwa yote nchi hii kwa sasa kama huna pesa huna haki Serikali inabidi iangalie wanyonge mikoani watu wanateswa sana, Polisi wameshika mikoa kama ndio wenye nchi.