Nini siri ya samaki samaki?

si mseme yule mkaburu anaevaa kimasai na ambae tabia zake si za kikaburu kwani anapenda mambo ya kibongobongo,ni shemeji yenu kwani anagonga dada yenu?
 
Ni swali zuri sana mkuu..na mimi naomba nikuulize kama wewe ni mteja wao pia kitu gani kina kuvutia uwende samakisamaki,na usiende sehemu zingine.
Watanzania tulio wengi ni "bendera fuata upepo" ukiwauliza wateja wengi wa samaki samaki ili swali watashindwa kukujibu. Wengi wanakwenda kwasababu panajaa.
 

Nashukuru sana kwa swali zuri, ndio maana tunasema sio rahisi kuielezea BUSINESS MODEL kwamba huyu anafanya hivi na vile,,, la sivyo ingekuwa rahisi sana watu ku copy na ku paste na kufaulu pia ! ! !

Pia wasomi na watafiti wa biashara ndio wangekuwa vinara kwa biashara, ni sawa na kusema kwa mashule ya sekondary ST,MARY wanafanyaje kwa kuwa washindi wa kwanza miaka yote ? watu wameiga sana na hata kuwahamisha watumishi/waalimu karibia wote kila mwaka bado HAWAFANIKISHI,,,,,,,,,,,

Mara nyingi BUSINESS MODEL inafanana na founder wa biashara, pana vitu vidogovidogo sana na vingi vinapuuzwa kwa kuchanganya na vikubwa vinavyoonekana INAKAMILIKA,,,,

Na kuhama toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine ni kama ilivyo ujasiriamali inahitajika isipungue 10 yrs na hata zaidi kwa kuwa sambamba na mhusika

Waweza kutambua baadhi tu kwa ku-google GET's General Enterprising Tendecies
 
si mseme yule mkaburu anaevaa kimasai na ambae tabia zake si za kikaburu kwani anapenda mambo ya kibongobongo,ni shemeji yenu kwani anagonga dada yenu?

Heeee dada yetu yupiii???
 

Watanzania hawana shida yoyote. Ni ukweli tu wa kisoko na saikolojia ya wanadamu dunia nzima. Na marketers wazuri wanalijua hilo. Hivi unadhani kwa nini ma-celebrity wanatumika kutangaza bidhaa mbalimbali duniani? Mama Mkapa alikuwa celebrity wa Bongo, kwa hiyo of course anakoenda lazima umma nao uende...basic psychology hiyo.
 


Jibu Unalo!
 

Akikuja huku wallah atakuwa kanikamata hata mie...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…