Hayo majina ni ya muunganiko wa atom ili kupata molecule.Hapana
Hayo majina ni ya muunganiko wa atom ili kupata molecule.
Vander Wo Forces ni very weak bond btn atom. Covalent & Ionic ni very strong bonds. Nasemea kunganisha uhusiano wenu kuanzia ktk kufafana kwenu
Muwe moleculeLakini hayo si majina tu au tumeshakuwa molecules sasa? Anyway acha tuone
Afadhal wew miaka 2 iliyopita utakua na idea kidogo..Kama miaka 2 iliyopita. Nime base kwenye kitu kingine sasa hivi
Afadhal wew miaka 2 iliyopita utakua na idea kidogo..
Jaribu kuunganisha
Labda ndo application ya kemia imeanza kweny real lifeHahahaha....... Utaniconfuse sasa, baki na sayansi yako basi
Dah mkuu haya ni magonjwa yaangu sana napenda sana kusikiliza hizi sauti za kispaniola zikiimba...sasa next time ukiwa unacruise na ur Novia hebu tupia hii kitu ya Don Omar na Jlo iitwayo "Hold you down" Hakika utopenda ufike haraka muendako kiongozi..Kuna ngoma ya don omary inaitwa " "Danza kuduro". Napenda kuipiga wakati nadrive afu unakuta niko omotola wangu pembeni hapo ...
Unaanza hivi:
La mano arriba, cintura sola
De media vuelta, danza kuduro
No tes canses ahora
Que esto solo empieza
Mueve la cabeza
Danza kuduro
La mano arriba.....x 2 ........
Labda ndo application ya kemia imeanza kweny real life
Dah mimi jina langu na avator yangu vina stori ya kusikitisha sana......
Kuna siku rafki yangu mmoja alikufa. Akafa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....Mi nkajua utani kumbe akafa bana.....Sasa mi nkasema inakuwaje anakufa tu hivi hivi......Serikali ikashusha bei ya umeme...
Ndo hivyo asee...Huwezi amini yani
Rafiki ako katisha hahahaDah mimi jina langu na avator yangu vina stori ya kusikitisha sana......
Kuna siku rafki yangu mmoja alikufa. Akafa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....Mi nkajua utani kumbe akafa bana.....Sasa mi nkasema inakuwaje anakufa tu hivi hivi......Serikali ikashusha bei ya umeme...
Ndo hivyo asee...Huwezi amini yani
Nasubir mrejeshoLitakuja jina la ajabu mpaka mwenyewe utashangaa. Ngoja nijaribu tena
Nendeni PM mbadilishane tarakimu za mawasiliano ya simu za mkononi. Baada ya hapo kila kitu mwake.Bazazi atusaidie basi
Kuna mkaka mmoja alikuwa king'ang'anizi kama kupe.
Alikuwa ananipenda halafu simpendi,
Sikuwahi kumwambia jina langu basi zake ikawa ni kuniita cute wangu.
Hadi marafiki zangu wakawa wanambeza wakimwona wananiambia B our cutie anakuja.
Basi siku najiunga humu nikatumia cute then B ni herufi ya kwanza ya jina langu.
Cute B
Nendeni PM mbadilishane tarakimu za mawasiliano ya simu za mkononi. Baada ya hapo kila kitu mwake.