Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
hivi leo ni public holiday?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii mvua hakuna namna ya kutoka zaidi ya kusoma comment na kureply.hivi leo ni public holiday?
nijibu basiNa hii mvua hakuna namna ya kutoka zaidi ya kusoma comment na kureply.
Duc In Altum.
AsanteKarume day
haina story kubwa..Kaboom ni sauti ya mlipuko mkubwa..Unaweza kuitumia kuashiria hatari lakini pia unaweza kuitwist na kuitumia kusifia,kushangaa nk ..Kuna artist anapenda kulitumia..Ndo nililichukua kwake..Sijui kama nimejibu swali lakoNilikuwa nataka kujua maana ya ID yako
Umejibu ila hujaniambia kuhusu avatarhaina story kubwa..Kaboom ni sauti ya mlipuko mkubwa..Unaweza kuitumia kuashiria hatari lakini pia unaweza kuitwist na kuitumia kusifia,kushangaa nk ..Kuna artist anapenda kulitumia..Ndo nililichukua kwake..Sijui kama nimejibu swali lako
Naomba maelezo ya ID yakohivi leo ni public holiday?
Huyo ni J.Cole..Moja ya wasanii wa hip hop ninaowakubali..Haya turudi kwako basiUmejibu ila hujaniambia kuhusu avatar
Lakini demu wako unayemzimia Sana anakaa huku state house na hao unaowatukana ni mashemeji zako wanaokulindia usingizi wako na muda mwingine ndo wanaokusaidia kazi unapokuwa huko mkoani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wanaume wa Dar hakuna kitu wanaweza kufanya zaidi ya kupaka mikorogo na umbeya.
Kaboom[emoji15] [emoji15] [emoji15] yangu tayari iko hapaHuyo ni J.Cole..Moja ya wasanii wa hip hop ninaowakubali..Haya turudi kwako basi
Sijaiona..Posts ziko nyingi..Ngumu kuzipitia zoteKaboom[emoji15] [emoji15] [emoji15] yangu tayari iko hapa
Nimpenzi mkubwa wa novels....Jina nalotumia limetoka kwa Mario Puzo author wa The Godfather ikiwa ni jina la moja ya novel zake (The Last Don).......napenda miziki ya latin amerika na Avatar ni ya jamaa anayeitwa Don Omar ambaye ni mmoja wa wanamuzik wa kilatino.
Linamo ni ufupisho wa majina yangu mawili.Huyo ni J.Cole..Moja ya wasanii wa hip hop ninaowakubali..Haya turudi kwako basi
NimeshakuandikiaSijaiona..Posts ziko nyingi..Ngumu kuzipitia zote
Ok..Avatar?Linamo ni ufupisho wa majina yangu mawili.
LINA lilitokana na rafiki yangu kushindwa kuita jina langu kwa urefu wake hivyo akawa ananiita LINA.
MO ni herufi za mwanzo za jina la ukoo wangu.
Wakati najiunga JF rafiki yangu huyo ndo alinichagulia jina hivyo akaniambia andika Linamo. Hivyo ikawa hivyo mpaka sasa ananiita Linamo.
Siyo Mimi japo tuko similar na tuna mahusiano kwa kiasi flani.Ok..Avatar?
unaleta za kikanda?.....ooh sorry, i shouldn't bring politics to thisSina undugu na Membe ila ni home boy wangu tu na namkubali kwa kazi zake na harakati zake simjui hanijui ila nilitamani awe Rais kwa sababu ya kazi zake huwa nazikubali sana jamaa ni jembe la KIMWERA ila now kamuachia MAJALIWA harakati za kwenda MAGOGONI akishindwa basi mimi nitakuwa nimeshakomaa tayari kwa kukabidhiwa nchi ili kuwavusha Watanzania kuwafikisha katika nchi ya ahadi.