Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Basi sawa..Mwambie kaboom anamsalimiaSiyo Mimi japo tuko similar na tuna mahusiano kwa kiasi flani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa..Mwambie kaboom anamsalimiaSiyo Mimi japo tuko similar na tuna mahusiano kwa kiasi flani.
Salamu zimefika kaboomBasi sawa..Mwambie kaboom anamsalimia
movie ya ki gangster? mwenyewe namkubali sana jamaaNapenda sana uigizaji wa Robert De Niro...
kuna movie inaitwa...Analyze this ..
aliulizwa na daktari 'what do you do for a living?'
akajibu 'i am the boss' 'i don't do anything'..
sijawahi isahau hiyo scene....
Hilo neno Rodger! Nakumbuka movie yangu ya Lone survivor! The best movie in my life....Rodger that captain TRANSEND 32GB😎
Hilo jina Finch , linanikumbusha jamaa aliyekuwa anaitwa Harold Finch kwenye series ya PERSON OF INTEREST.....Its a series inaitwa , the tomorrow people, sasa kuna mdada anaitwa astrid finch nampenda sana na ndiye niliye mweka kwenye avarta
Pole dear! Omba Mungu àkusahaulishe.....na nakutakia malezi mema ya Anna na Joshua panapo majaliwaAnnie Josh (Anna Joshua) siyo majina yangu but ni majina imaginary ya watoto wangu wawili ntakaojaliwa na M/Mungu...Nina Imani atanipa
Nayapenda maana wenye majina hayo wana sifa ya upole na utu Wema mostly wacha Mungu.
Behind my avatar ... I used to trust human beings much! Sikujua binadamu aweza kuwa na tabia Za kinyama au kumtendea binadamu mwingine yasiyofaa! I came to realize human beings are not to be trusted Kwa niliyoyaona Kwa dada yangu! Alitendwa na mumewe yasiyohadithika licha ya kuwa dada yangu aliweka rehani mambo Yake muhimu kwaajili ya Upendo Kwa mumewe...lkn alichotendwa hatokaa asahau!
Pia nami Nimepitia kadhaa yanayonifanya nione sina haja ya kumwamini sana binadamu...naishi naye KIAKILI tuu! But that notion haizuii kuona mema yaliyomo kwenye ubaya mchache wa Mtu
Jamaa wanachinja mtu from the back....! Yaani unakatwa shingo ukiwa kifudifudi...hataree sanaMovie hiyo huwa sichoki kuiangalia, wataleban walitoa dozi nene mno ambayo jamaa hawatokaa kuisahau😱
Na iwe hivyoPole dear! Omba Mungu àkusahaulishe.....na nakutakia malezi mema ya Anna na Joshua panapo majaliwa
Naombeni kuuliza hivi LIKES za KAPUKU kuonekana kwenye post mwisho ni 5 tu ht km umepewa 20?....mbona kwa wakongwe huonekana hata 30...
Yaani ht thread zangu zipo ambazo napata notifications likes zimefika 20,lkn pale kwenye thread/post huonekana 5 LIKES ...cha ajabu hapohapo jirani unakuta mtu ana 9LIKESWanakuonea eeh? 🙄
Yaani ht thread zangu zipo ambazo napata notifications likes zimefika 20,lkn pale kwenye thread/post huonekana 5 LIKES ...cha ajabu hapohapo jirani unakuta mtu ana 9LIKES
Kuna hujuma
Kuna watu "wanabebwa" sio bure tangu nijiunge Jf eti 5 likes kila post zangu na za makapuku mileleInabidi wakupe haki yako kwa kweli
Kuna watu "wanabebwa" sio bure tangu nijiunge Jf eti 5 likes kila post zangu na za makapuku milele
Inaboa
Njooni MEMBERS ONLY msapoti kilio chetu makapuku.....nimewasilisha lalamiko
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/15799464
Kuna watu "wanabebwa" sio bure tangu nijiunge Jf eti 5 likes kila post zangu na za makapuku milele
Inaboa
Njooni MEMBERS ONLY msapoti kilio chetu makapuku.....nimewasilisha lalamiko
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/15799464
Tayari njooniBishopTembo anzisha uzi kule mie ntakuunga mkono tupige harakati za kibabe, tumechoka kunyonywa.