Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Hhhhhhh daah nouma sanaaa me bhna historia ya jina langu imeaanzia kitaani ninapo ishi japo hpo nyuma nina ma nick name mengi kama KISHOMORO, WAKUJAMP, FUKO, RAMANINO ila hili VINJUNGA "limetokana naa uvaaji wa bucta na pensi yaan nguo zisizoficha magoti me nilikuwa sinaaga swaga za suruali yaan ukinipa suruali naenda kwa fundi naikata inakuwa kinjunga asee ni nomaa nikawa maarufu kihivyoo

😀😀😀 tunafanana mkuu
 
Unavyolalamika jamani?? Ila kweli, sio fair
Sasa tunyamaze tu?
Tukiona sio fair.....
Hata ukichunguza mleta mada kaleta issue nzuri lkn wakongwe + maarufu wanapita kimyakimya
Makapuku tuungane
Tupunguze kuwashobokea
 
Na mm nisemepo kidogo

Kama unataka mali utaipata shambani

Kama afya utaipata shambani pia

Ni title ya wimbo wa ndugu ya mmoja namkubali sana...namwitaga prof.Farid (fid q)
FRESH YA SHAMBA

avatar ni kwamba nna binti now...yeye pamoja na mama ake tunaitengeneza avatar

So furesh
 
Bansen Burner inaproduce heat ila ad kujiita hvo ni kipindi nasoma tulikua tukipanda Daladala Toyota Hiace sehem wanafunzi tulikua tunaambiwa tukae ni juu ya engine ya gari hyo sehem inaunguza balaa unaweza ukahis tako linaiva ila ndio hvo umetoka skonga umechoka mbaya unakaa tu ufike"

Avatar ni jamaa mmoja anaitwa Ghost namkubali sana kwenye series ya Power Directed by 50cent. Huyu jamaa si mtu wa Kuongea sana ni mtu wa Actions...Gentleman+kitomb-
Mr James StPatrick aka Ghost
954e62e932c9f682aea9cc2ef08064b0.jpg
 
mimi bwana tabia zangu naona toka mdogo nilikuwa mzushi mzushi tu na nishakula makonzi yakutosha utotoni,kuna mzee mmoja aliwahi kusema huyu mbilikimo akisema maneno kumi shika moja tu sababu kanaonekana nikazushi tu ka mambo,basi toka siku hiyo mtaani wakawa wananiita kazushii na unayemwona hapo kwenye avatar hana tofauti na jina langu .
Hahaha mbavu cna
 
Me ni kama Asante kwa mabaya yaliyonikuta since 2015, na avatar that is I was baada ya mabaya , nilikua niko na phone day yote .. totally confused
Pole sn, wat hap..
 
Bansen Burner inaproduce heat ila ad kujiita hvo ni kipindi nasoma tulikua tukipanda Daladala Toyota Hiace sehem wanafunzi tulikua tunaambiwa tukae ni juu ya engine ya gari hyo sehem inaunguza balaa unaweza ukahis tako linaiva ila ndio hvo umetoka skonga umechoka mbaya unakaa tu ufike"

Avatar ni jamaa mmoja anaitwa Ghost namkubali sana kwenye series ya Power Directed by 50cent. Huyu jamaa si mtu wa Kuongea sana ni mtu wa Actions...Gentleman+kitomb-
Mr James StPatrick aka Ghost
954e62e932c9f682aea9cc2ef08064b0.jpg

😀😀 Pole kwa kuungua kipindi hicho
 
My name reflects my detestation for House chores that I've been forced to do all my life

avatar nilikutana nayo huko duniani nikaona inafanana na mimi.
 
Bansen Burner inaproduce heat ila ad kujiita hvo ni kipindi nasoma tulikua tukipanda Daladala Toyota Hiace sehem wanafunzi tulikua tunaambiwa tukae ni juu ya engine ya gari hyo sehem inaunguza balaa unaweza ukahis tako linaiva ila ndio hvo umetoka skonga umechoka mbaya unakaa tu ufike"

Avatar ni jamaa mmoja anaitwa Ghost namkubali sana kwenye series ya Power Directed by 50cent. Huyu jamaa si mtu wa Kuongea sana ni mtu wa Actions...Gentleman+kitomb-
Mr James StPatrick aka Ghost
954e62e932c9f682aea9cc2ef08064b0.jpg

Hii inanikumbusha kipindi niko advance boarding school, kwa kuwa mabafu yalikuwa ni ya kushare, mtu wa dar alikuwa anajulikana kwa weusi wa tako lake, na hii tulihypothesize kana ni matokeo ya kukalia bansenburner😀😀
 
Hii inanikumbusha kipindi niko advance boarding school, kwa kuwa mabafu yalikuwa ni ya kushare, mtu wa dar alikuwa anajulikana kwa weusi wa tako lake, na hii tulihypothesize kana ni matokeo ya kukalia bansenburner😀😀
Haha mkuu unachunguza watu matk ww sio mtu mzr
 
Kuna mkaka mmoja alikuwa king'ang'anizi kama kupe.
Alikuwa ananipenda halafu simpendi,
Sikuwahi kumwambia jina langu basi zake ikawa ni kuniita cute wangu.
Hadi marafiki zangu wakawa wanambeza wakimwona wananiambia B our cutie anakuja.
Basi siku najiunga humu nikatumia cute then B ni herufi ya kwanza ya jina langu.
Cute B
Nimei-quote tu kwa huruma ya huyo 'mkaka' teeehe teeehe cute wangu upo?
 
Haha mkuu unachunguza watu matk ww sio mtu mzr

Hahaha!!! Mie pia nilichunguzwa mkuu, kila boarding school inakuwa na vitradition mshenzi ambavyo one can not avoid if he/she has to live a peacefull life hapo shuleni, vitradition hivyo ni unbreakable, waliopitia shule za bweni wanaelewa😀😀😀
 
Back
Top Bottom