Nakupata.. jamaa anachangamsha mada.Mie niko interested na story behind names, nothing more nothing less wajameniπ
kaniambia anakufahamu, nahisi anaogopa kukustuaMbona unambembelezea? Aseme mwenyewe..
Bora asinishtue..ukute ni mjomba wangu!kaniambia anakufahamu, nahisi anaogopa kukustua
unajua mjomba wako ndo mama yako wa pili hapa duniani? wacha iwe tu bwanaBora asinishtue..ukute ni mjomba wangu!
Bora umenikabidhi rungu mkuu, subiri ripoti ππDragoon uko vizuri!!! Sie wengine wazito kuongea bhana, flow naye akieleweka nambieπ
Hahaha only mother can love ? [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji12]Hahaha....i get that a lot mzee, ila tusubiri tuone, hii ni sura ambayo only a mother can loveπ
Kuna mkaka mmoja alikuwa king'ang'anizi kama kupe.
Alikuwa ananipenda halafu simpendi,
Sikuwahi kumwambia jina langu basi zake ikawa ni kuniita cute wangu.
Hadi marafiki zangu wakawa wanambeza wakimwona wananiambia B our cutie anakuja.
Basi siku najiunga humu nikatumia cute then B ni herufi ya kwanza ya jina langu.
Cute B
Bitoz ni jina nililopewa skul na kitaani kutokana na uvaaji wangu......yaani kuanzia uniform hadi kitaani sikubali kufanana na mtu .....kupiga pamba vizuri ni kipaumbele changu japo mimi ni KAPUKU....
Avatar inawakilisha
* kutangaza utalii
* Tembo bishop
*kupinga mauaji ya tembo
NIMEELEWEKA
Huyo kweny avatar ni wew?And this is wat i call cute, well told story.
Edit "bishop" ni bishooNimekuelewa kama hesabu za MAGAZIJUTO mzee, pamoja sana BishopTemboπ
Nimekupenda, wew ni hbzoNdioπ³π³
Asante ngoja niishie hapaAsanteππ na wewe ni kazuri