Pia naona vijana wamecopy thread yako ya 2009?Siye ni kundi la kukosa tu Mkuu, hivyo sioni kama tuna chetu kwa mara nyingine tena msimu huu. Tatizo letu kubwa ni yule Arsene Wenger. Hata FA tumeikosa tena kwa kufunga kwetu.
Pia naona watoto wamecopy thread yako ya 2009?
kweli nimeamini hakuna kipya chini ya jua
OK sorry kijana naona kma nimekukwazaMkuu wembee, tafadhari naomba ufute kauli yako hiyo, respect is priceless! Hapo kwenye red hapo.
Sikujua kama kuna uzi wa namna hii JF, kwahiyo sijacopy ila hii imetokea kama coincidence!
Pia naona vijana wamecopy thread yako ya 2009?
kweli nimeamini hakuna jipya chini ya jua
WIVU [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Pia naona vijana wamecopy thread yako ya 2009?
kweli nimeamini hakuna jipya chini ya jua
Miss you too brother! Ila kazi nayo ina umuhimu wake........ Wifi asije akakukimbia, piga kazi tu maana hakuna namna nyingine, huku uwe unakuja mida yetu ileeee ya team PopoSister jimena!!! Miss u big time, yaani niko ktk wakati wa kuchagua kazi na jf, n i thnk i will choose jf. Nimewamiss
Kila cku Makapuku wanazaliwa ....Pia naona vijana wamecopy thread yako ya 2009?
kweli nimeamini hakuna jipya chini ya jua
Labda Nyota tu ndo tatizo mkuuKila cku Makapuku wanazaliwa ....
Tatizo lipo wapo [emoji780]
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,.....,..,,,,,,
Itakuwa nyota ya [emoji196] tuLabda Nyota tu mkuu ndo tatizo,
Lohhhh[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Itakuwa nyota ya [emoji196] tu
...................................
Ili iweje????Jitaidini basi kutumia search engines Ili muweze kupata mengi ya zamani yaliokwisha jadiliwa. Ni ushauri tu
Waambie kwanza wazee wa OLD SKUL 7bu kuna sticky hapo juuJitaidini basi kutumia search engines Ili muweze kupata mengi ya zamani yaliokwisha jadiliwa. Ni ushauri tu
Wewe na Neema Mwaipopo kuna undugu?mwanzo nilikua natumia ID nyingine baadae nikaja kusahau password ndo nikaamua kuja na jina langu kamili....na hiyo avatar nimm mwenyewe huyo!
Kuanzia kidato cha sita nikiwa mpenda electronics kwenye kombi ya PCM hadi nafika chuo, nimekuwa hatari sana kwenye udadavuzi wa kanuni ya Gustav Kirchhoff ya volteji Na mkondo wa umeme. Hiyo imepelekea kupewa jina hilo Na walimu Na wanafunzi.
Na kanuni hiyo (KVL n KIL) huwa na apply kwenye maisha ya kawaida kutokana Na misemo ya Bwana Yesu Kristo kuwa
1. Utavuna Ulichopanda (KVL)
2. Kingiiacho ndicho kitokacho (KIL)
Huku Arusha Mvua zinanyesha Na Hali ya hewa ni nzuri.