Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

kar
😀😀😀😀 i will take this as a compliment, ila mtoa uzi yuko njiani kuoa. Mungu akisaidia mwezi wa kumi mwaka huu naukimbia useja
ibu kwenye ndoa kuna raha, kuchapiwa ni siri ya ndani na kuchapa ni siri yandani, sema ukioa utajua utamu wa madem wa posta jijini dsm
 
ID na avatar yako nawait maelezo. Karibu [emoji520]
Hahahaha Id name ni majina yangu yote hapo ila nimecheza na herufi tu plus bond yangu,Avatar hii nimependa tu maneno na dressing style,ila kuna ile avatar yangu ndo naipenda sana ileeee ya Aishrywa anakunywa wineee ile ndo ina story behind,wewe mtoto wa Juzi Juzi huijui hiyo Avatar.
 
Nashukuru kwa hilo. Hiyo ID yako ina maana IPI?
Linamo lilitokea baada ya rafiki yangu mmoja kushindwa kuliita jina langu lote kutokana na urefu wake hivyo akawa ananiita Lina... Hiyo MO inatokana na jina la baba yangu hivyo kipindi najiunga na JF rafiki yangu huyo ndiyo aliyenichagulia jina na kuandika LINAMO.
 
Mkuu nimekuogopa[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nimependa huo mchanganyiko wako Katika ID yako kama ulivyoelezea. Ila ile avatar yako ya kwanza naikumbuka vizuri sana. Kwanini uliitoa ile?
 
Elezea kidogo.

Well, Kioo huwa kina akisi yaliyopo mbele ya kioo. Nimetumia KIOO nikiwa kama KIOO CHA JAMII kuakisi yanayotokea kwenye JAMII.

Ila sio kila kitokeacho kwenye JAMII huwakilishwa/huakisiwa na KIOO CHA JAMII mengine huwakilishwa na KIOO CHA JAMII yakiwa yametokea tu kwenye JAMII sio lazma kimtokee moja kwa moja MSANII/KIOO CHA JAMII.

Na ndio mana AVATAR imeakisi kitu ambacho si sawa na MIMI coz mi ni +me hivyo nimekuwa nikipata usumbufu wa kutongozwa na kuachiwa sana namba wakidhani ni -ke bila ya kujua kuwa KIOO huakisi hata yatokeayo kwenye JAMII ambaya hayamtokei moja kwa moja MSANII/KIOO CHA JAMII.

ANGALIZO :

Jamani, wale wapenda nanii muache sasa kunitongoza maana, khaaa...!.

Kama ni mpenzi wa rhymez PM namba yako nkutumie songs japo mbili walau.

HAVE A LOVELY DAY.

[emoji4] .
 
Nimekupata sana. Ila pole kwa usumbufu wa huko PM aisee. Hii ndo JF
 
Kuna watu humu wanatumia majina ya kike na picha lakini ni dume zima tena lina ndevu mpaka ....
 
Hilo jina lako lina herufi ngapi?

Kumbe rafiki ndo alikuchagulia ID, Lina plus Mo nimependa hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…