kivipi mkuuHehehe napita tu.wengine id zetu tulipewa na akina invisible
Vipi kuhusu jina lakoGentamycin ni dawa, antibiotic fulani hivi amazing.
Siyo Mimi japo tuko similar kiana flaniNyingi sana. Mimi langu lina herufi nane
Hiyo avatar ni wewe au?
Kumbe, nilifikiri ni wewe. Kama pacha fulani hivi au sioSiyo Mimi japo tuko similar kiana flani
InawezekanaKumbe, nilifikiri ni wewe. Kama pacha fulani hivi au sio
Inawezekana kumbe, mmmmhInawezekana
Kwa nini viatuInawezekana kumbe, mmmmh
Basi tu niliona imekaa muda mrefu sanaNimependa huo mchanganyiko wako Katika ID yako kama ulivyoelezea. Ila ile avatar yako ya kwanza naikumbuka vizuri sana. Kwanini uliitoa ile?
Navyojua ni dawa Kama sukari yetu alivyosema hapo juu japo maana atakuwa anaijua mwenyewe.ngoja aje atakujibu tuNatamani sana nijue story behind jina GENTAMYCINE...
All star (converse) ndo viatu ninavyovaa mara nyingi. Navipenda sababu viko simpo sanaKwa nini viatu
Hapo sawa. Ile ilipendeza sana na Id yako ujueBasi tu niliona imekaa muda mrefu sana
Asante kwa taarifa mkuuUkiitazama hiyo avatar yangu ni imagination yenye kuleta uhalisia wa eneo flani.
Na kuhusu kutumia jina la EMMYGUY, namthamini, nampenda, na kumheshimu sana mama yangu aitwae EMMY maana tangu kanizaa mpaka nimekuwa mkubwa sasa bado ana mchango mkubwa sana katika kufanikisha furaha yangu.
cc: Linamo, sizzya007.
Daah! Lengijave.....maeneo ya ngaramtoni mbele mbele hukomi la kwangu linatokana na sehemu moja huku Arusha panaitwa (lengijave) sasa mi nikawa kila nikichelewa kwenda shuleni....basi kwenye geti la shule nikimkuta ToD akiniuliza why unachelewa namjibu natokea mbali sana....wapi huko,? namwambia lengijave basi ananiachia napita bila kupata adhabu basi wanafunzi wakaanza kunitania ila wakawa wanakosea kulitamka hilo neno huvyo wakawa wananiita Longi basi bwana kwakua mimi nlikua moja ya wanafunzi matajiri nikawa najiita Mapesa wakaaza kuiga ikabidi nibadilishe hadi aina ya uandikaji wake ili niwe wa kipekee ~LONGI MAPEXA.......Naam likawa maarufu sana na nnalipenda kwa kweli kwani hakuna anayeitwa hivyo zaidi yangu mwenyewe
Ukiitazama hiyo avatar yangu ni imagination yenye kuleta uhalisia wa eneo flani.
Na kuhusu kutumia jina la EMMYGUY, namthamini, nampenda, na kumheshimu sana mama yangu aitwae EMMY maana tangu kanizaa mpaka nimekuwa mkubwa sasa bado ana mchango mkubwa sana katika kufanikisha furaha yangu.
cc: Linamo, sizzya007.
ni boraMkuu nimekuogopa[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]