Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Nini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF

Yaani maisha yangu yamekua mepesi sana kwa kutumia torrent kudownload mazagazaga yote nayotaka. Kuanzia vitabu, keys, OS, anti virus, applications, movies, series, music and whatever I want.
Kat.ph ni link ya kuendea kickass torrents.
 
Yaani maisha yangu yamekua mepesi sana kwa kutumia torrent kudownload mazagazaga yote nayotaka. Kuanzia vitabu, keys, OS, anti virus, applications, movies, series, music and whatever I want.
Kat.ph ni link ya kuendea kickass torrents.

Hii nayo ni kali, kiukweli torrent inatusave sana.
 
J ni herufi ya kwanza ya jina langu! 3 ni idadi ya watoto nilionao na 3 ni idadi ya wanawake niliozaa nao. Neno Duc in Altum ni phrase ya kilatin ikimaanisha " deep down". Avatar ni mbwembwe tu haina maana ya ziada zaidi ya kinachoonekana.

Duc In Altum.
 
J ni herufi ya kwanza ya jina langu! 3 ni idadi ya watoto nilionao na 3 ni idadi ya wanawake niliozaa nao. Neno Duc in Altum ni phrase ya kilatin ikimaanisha " deep down". Avatar ni mbwembwe tu haina maana ya ziada zaidi ya kinachoonekana.

Duc In Altum.

Mkuu ulivyoandika hapa if i was to describe you in accordance to ur post ningetumia sentensi hii.

Non-nonsense taker😱
 
Napenda sana uigizaji wa Robert De Niro...
kuna movie inaitwa...Analyze this ..
aliulizwa na daktari 'what do you do for a living?'
akajibu 'i am the boss' 'i don't do anything'..
sijawahi isahau hiyo scene....
hahhaa humo kwenye hiyo movie kuna doctor mmoja Anaitwa Dr.Ben Sober,Natamani sana kuchange jina langu liwe hilo(Ben Sober) ila sijajua kama JF ina hiyo option...mishe mishe za yule doctor Zina uhusiano mkubwa sana na jinsi nilivyo aysee
 
Mkuu ulivyoandika hapa if i was to describe you in accordance to ur post ningetumia sentensi hii.

Non-nonsense taker😱
Sijaelewa unamaanisha nn ! Ila that is what my name here means na hata gar yangu ina logo yenye herufi na namba izo japo sijawah kueleza popote maana yake popote zaidi ya hapa.

Duc In Altum.
 
hahhaa humo kwenye hiyo movie kuna doctor mmoja Anaitwa Dr.Ben Sober,Natamani sana kuchange jina langu liwe hilo(Ben Sober) ila sijajua kama JF ina hiyo option...mishe mishe za yule doctor Zina uhusiano mkubwa sana na jinsi nilivyo aysee

Billy Crystal ?
 
Back
Top Bottom