Nini tafsiri ya ndoto hii ?

mm jana nimeota mpnz wang anafanya mapenzi na kaka wang wa damu toka nitoke, asubuh kulipokucha nikawa natafakar kuhusu hiyo ndoto so nikamua kumpgia cm mpnz wang na nikamuambia kuhusu hiyo ndoto, yy nae akaniambia ameota uck huo huo kuwa anafanya mapenz na mdogo wang wa damu, wakuuu nikabak nimeduwaaaaa tu cjui cha kufanya, je kuna mtu mweny ufaham kidogo na hiz ndoto??
 
Usaliti unakuja
kati ya ndugu yako na huyo mpenzi wako
sio lazima wa sex
but kuna usaliti
 
Yaweza kuwa ndoto tu kama ndoto nyingine zozote ambazo umewahi kuota na hakuna lolote lilitokea zuri ama baya.
 
ha ha...ni maono yako mkuu, mpenzi wako atakusaliti very soon na sio lazima kwa ndg yako wa damu. shtuka chukua hatua
 
hapo patamu sana. ila me naona ni bora ndugu yako kuliko mtu wakuja tu.
 
Inawezekana kabisa ndoto yako ni kweli lakini ya mpenzi wako sio kweli, sasa amekwambia hivyo ili ushindwe kufuatilia kwa sababu kama utakuwa unaamini katika ndoto na yeye pia kaota kama ya kwako, kama utajifanya kuuliza uliza atakwambia ni ndoto tu mbona hata mimi nimeota unashiriki na mdogo wangu kwa hiyo ni kweli umeshiriki naye, hapo inabidi ulale tena uone kama ndoto itajirudia, ikijirudia tu shituka.
 
Yaweza kuwa ndoto tu kama ndoto nyingine zozote ambazo umewahi kuota na hakuna lolote lilitokea zuri ama baya.

yaaaap inaweza ikawa ndoto tu bt iweje mm na yy tuote kitu kichofanana tu?? Maana ingekuwa nimeota mm nisinge daught bt na yy akaota ana do mdogo wang?
 
ndoto yako haina uhusiano wowote na mpnz wako, ila kuna usaliti unaweza kutokea kwnye sehemu yako ya kaz tena na mtu wako wakaribu (anaweza kua ndugu au rafiki)
 
Bado hiyo inawezekana mkuu kwa watu walio karibu au wenye kuhusiana
 
maana ya hiyo ndoto ni wewe ndio utakaomsaliti na atakufumania ,na litatokea timbwili zito sana,baadaye mtaachana,mkiachana uyo binti atalala na ndugu yako uyo ili akukomoeee,ili akuumize
 
yawezekana mlikuwa mnawazana na pia kuna mmoja wenu si mwaminifu, pia tegemea anguko kubwa la usaliti. ukiota tena njoo ndoto zngne njoo.
 
endelae kulala utapata kufumania kabisa!
 
Hiyo ndoto iliendelea kwangu,huyo mpenzi wako akashoboka na mm then nikarekebisha mambo na wewe ukaachana nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…