Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelae kulala utapata kufumania kabisa!
Hiyo ndoto iliendelea kwangu,huyo mpenzi wako akashoboka na mm then nikarekebisha mambo na wewe ukaachana nae.
Una mapenzi ya kweli na mwezako hivyo upo connected naye kiroho. Unajulishwa kuwa kuna hatari inanyemelea penzi lenu very sentive na muhusika atakuwa wa karibu sana thats why imetokea kwa msisitizo pande zoye mbili. Hilo kwa sasa bado lipo kwenye ulimwengu wa kiroho halijawa halisi bado hivyo unauwezo wa kuingia kwenye ulimwengu wa kiroho na kulisambaratisha mapema kabla halijatokea.mm jana nimeota mpnz wang anafanya mapenzi na kaka wang wa damu toka nitoke, asubuh kulipokucha nikawa natafakar kuhusu hiyo ndoto so nikamua kumpgia cm mpnz wang na nikamuambia kuhusu hiyo ndoto, yy naeakaniambia ameota uck huo huo kuwa anafanya mapenz na mdogo wang wa damu, wakuuu nikabak nimeduwaaaaa tu cjui cha kufanya, je kuna mtu mweny ufaham kidogo na hiz ndoto??
mimi kiukweli siamini katika ndoto wala huwa sina time na ndoto nikiota nimeota tu!
lakini kwa sasa nimeona sio jambo la kawaida maana ni wiki sasa kila siku naota naogelea kwenye maji meengi jamani
au ndo naenda kurest in peace?
ni kawaida jamani au nishalogwa
nisaidieni mwenzenu
kabla ya kulala huwa nasali sana wala sifanyi dhambi usiku
naogopa hata kulala siku hizi maana nikilala tu bwawa la mtera linanihusu full kuogelea ,nakomaje???????
je za kupaa angani?Ndoto zinazohusisha maji huwa si nzuri
Bahati mbaya Sheikh Yahaya hatuko naye tena.
Ila kwa uzoefu wangu wa kindotondoto, mkeo ana mimba changa ya mapacha. Mimba ina mwezi sasa. Kama hujakutana naye kimwili zaidi ya mwezi mmoja, ukae ukijua kabisa kitanda hakizai haramu.
Baada ya kusema hayo nakushauri uende ukafanyiwe maombi ili pepo la wivu likuwache miaka mia. Then umchukue mkeo uishi naye kabla hujaanza kulea watoto wa wanaume wenzio.
Japo mke alinicomfort nakujaribu kutaka kuamini lakini hali ilizidi kuwa mbaya pale mwanangu wa kike 2 years old,akinisimulia yakuwa mama alikuwa ana kiss na dady kitu kilicho niumiza twice, and sikupata conclusion katika hiyo ndoto.
Mh pole...inawezekana kuna ukweli ndan ya ndoto hyo,na pia inaezekana umeota kwasababu ya mawazo ambayo tayar unayo,ila naona ktu cha ajabu mpaka sas haujaongea na mke wako wala nae hajakutafuta...si sawa,
Fanya uende ukamtembelee week hii bla kumwambia uone
Mkuu, daddy c ndo wewe? Ama dota wako kila mwanaume ye anamuona ni daddy tu?