Nini tafsiri ya ndoto hii ?

shetani anainyemelea ndoa yako kwa ndoto za uongo kemea kwa jina LA Yesu. tubu kwa mashaka yako maana undo mlango anaoutumia adui.
 

Kunanini hapa?mimi nahofu, mara nyingi nimekua nikiota mambo au matukio na yanakuwa kweli
[/QUOTE]
kwanini unauliza? maana umesema wewe ukiota.................. inakuwa...............
je siyo hofu ya kukosa uroda huko uliko na kuonea wivu mkeo?
SP
 

Kunanini hapa?mimi nahofu, mara nyingi nimekua nikiota mambo au matukio na yanakuwa kweli
kwanini unauliza? maana umesema wewe ukiota.................. inakuwa...............
je siyo hofu ya kukosa uroda huko uliko na kuonea wivu mkeo?
SP[/QUOTE]
labda kweli mdau lakiniii.....
 
shetani anainyemelea ndoa yako kwa ndoto za uongo kemea kwa jina LA Yesu. tubu kwa mashaka yako maana undo mlango anaoutumia adui.

nisaidie tushiriki wote katika maombi ndugu yangu
 
Unavyowaza ndivyo unavyoota,futa fikra mbaya juu ya mkeo.,fanya kazi Kwa bidii mshirikishe Mungu akulindie namba yako
Maana imeandikwa...'ukiniweka mm kuwa mlinz basi hata mbu hatakuuma...

#kila binadamu amepewa uwezo wa kujua kitakachotokea mbeleni Ila ni mapuuza yetu.....
 
kituambacho kiukweli nimeshindwa kukitafsiri,uje iko kama utani vile ila nikweli maana kuna incidence ambazo ziwezi kuzieleza kabisa i iwish kama tungekuwa na uwezo wakuzirecord kukuziplay ndoto kila mmoja akaona..
Itakuwa kuna mtu alimkis mkeo mwanao akaona..
Nadhani sometimes mtoto akiona kitu ambacho sicho anahisi hivyo ni vibaya sijui?

Anyway kikubwa hapa ni kuwa na mawazo positive, atakutunzia heshima yako mwamini tu. Na hata kama hatotunza y loose your sleep wakati huwezi kumzuia?
Fanya mpango muishi pamoja. Being apart si kitu kizuri na even if imebidi tafuta hata slightest chance ya ninyi kuishi pamoja.
Ikishindikana 160 si kilometer nyingi kihivyo.
 
Mwenye kuweza kuielewa ndoto kwa uzuri siku zote ni yule muotaji...

Ndoto hujumuisha mambo mengi, wakati mwingine ni mkusanyiko wa yaliyotukia...

Pia ni bayana ya yale yatarajiwayo katika wakati tusioufahamu...

Chekecha vizuri akili yako, unganisha vizuri matukio, mwisho utaelewa tu!!!
 


mwenzio ana machungu na ndoto aliyoota na ww baada ya kumpooza unazidi kumgongemelea msumari khaaaa majangalization
 
mkuu sijui wewe ni imani gani, au wewe ni mwombaji, au wewe mwenyewe ni mwaminifu? nina maana ya maswali yangu haya! biblia inasema ndoto hutokana na shughuli nyingi za mtu! je haya uliyoota yanatokana na shughuli nyingi za kwako? yaweza kuwa kweli pengine ulimuwaza sana mkeo siku hiyo kabla ya ndoto ndo ukaota hivyo, wewe wajua hayo! ila ngoja nikwambie kitu kimoja, Mungu anaheshimu ndoa kwa viwango vya juu, kama wewe ni mwaminifu na mwenzako sio Mungu anaweza kukuonyesha ndoto hii. utajuaje kuwa ni kweli? Kama Mungu kakuonyesha ukimuomba atadhihirisha tena, Yeye ni baba yetu so atafanya tena. ngoja niishie hapa ila nijibu maswali yangu ya kwanza!
 

mkuu imeandkwa wapi hiyo?
 
ungeweka namba yake humu jamvini watu wampigie wamuulize ni kweli?
 
Hakuna cha ndoto wala nini,ni mawazo yako tu mabaya kwa mkeo,acha wivu usiokuwa na faida,ukiona unashindwa kuhimili maisha ya kukaa mbali na mkeo yafaa ufanye uamuzi wa kumchukua na muishi pamoja.
Tabu yetu wanaume tuna tabia ya kufanya jambo na tukimaliza tunaanza kuwaza kuwa hata wake zetu wanaweza kufanya na ndipo wivu unapoanza kujitokeza.
 

Asee!!!.
 
Kama binaadamu hana malaria na haumwi kichwa akiota ndoto basi ndoto huwa na ukweli.lakini ndoto huwa zipo kinahau zaidi yaani huonekana tofauti na kumaanisha tofauti.ila kama huwa unaotaga vitu vyenye uhalisia, jaribu kuchunguza kwa busara ya hali ya juu sana.ndoto ni mpangilio wa ramani ya matukio ya kimaisha yaliyopita na yajayo.na hasa yajayo.ndoto huonya huelekeza na kutoa taarifa.tumia umakini kwani ndoto huwa na maana za kujificha ficha sana.
 
unampenda sana mke wako ndio maana unamuota ila fanya mchakato uwe naye karibu coz vishawishi ni vingi?? dont believe dreams coz dream coz by stress/imagination and dairy routine
 
Kama siku husika kukulala na mawazo ya mkeo bali ulichoka na kazi. Kama wewe ni mkweli na si mzinifu na ni mtu wa imani/ibada sana hiyo ndoto ni kweli
Na kama wewe ni wa kawaida ila mwaminifu kwa mkeo hiyo ndoto pia kweli.
Kama wewe ni mzinifu, mpenda wanawake hilo kwako ni onyo kwamba hata wa wenzio wanajisikia vibaya wakiona wewe wafanya uzinifu na ndugu zao/dada zao/shemeji zao/mama wadogo zao/nk
Jitazame wewe ni nani kati ya hapo
Ushauri
Ukifanya mapenzi na wanawake/wasichana wa watu basi jua fidia ya zinaa hiyo italipwa na mwanao au mkeo kwa kupitia kwa mwanamme kama wewe. Cha msingi haki na batili havichangamani fanya ibada sana akifanya zinaa tu anaumbuka nawe usiwe na upendo wa asilimia mia kwa mkeo maana siku ukikuta anafanya upuuzi utaweza kufa kwa mshituko. Pendaneni kwa kiasi na mfanye maombi kwa mola wenu kwa sana ili mpate furaha na jueni kuwa kila mmoja yupo na mapungufu yake na jueni kuwa shetani yuko kazini kutafuta wafuasi na msichoke kupeana nasaha za kuwa na subira katika matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…