Nini tafsiri ya ndoto hii ?

Labda jana yake ulikuwa na mawazo ya freemason, au uliwasikia watu wakizungumzia kuhusu imani hiyo haramu na potofu. Cha msingi potezea!! usipoteze mda kuwaza mambo yasiyo ya msingi.
 
Ulilalaje kwani?
Ulikua mtupu? Or ulilala na boxer? Or chupi? Or pensi? Or what?
...
Ukijibu hapo utanipa njia ya kufasiri ndoto yako!
 
Muda mwingine ndoto hujengeka kutokana na mawazo na matamanio. Kuhusu ndoto yako mi nadhani kuwa inaweza kuwa kweli kama huwa huwazi juu ya hao freemason na wala huwa husomi broshua zao. Ila kama una utamaduni wa kuungalia video ambazo hadhaniwa ni za freemason, kusoma vitabu vyao na mengine kuwa husu freemason basi hayo ni mawazo tu ambayo unayawaza yikes umelala. Kuwa makini na hili kama hujawahi wafuatilia mambo yao.
 
I don't believe in nowadays dreams coz they dont come to reality! Sorry
 
Akiliyako tu ,itakuwa kabla hujalala ulikiwa unasikiliza story zap jamaa au Umesoma pahala lakini kiukweli Hakuna kitu hapo
 
Habar zen wana jf naomba msaada juu ya hili swal ambalo niliulizwa na mtu nikashindwa kumpa clear answer.hiv nin maana ya ndoto ambayo unaota kama unakula kinyesi, pls mwenye uelewa katika hilo naomba anijuze.kama hujui kama mm naomba tuwe wasomaji tu.
 
Hahahahah! dah ndoto zingine majanga ngoja waje wenye ujuzi
 
niliwah kukumbana nayo hii kwa dada yang tulipoenda kumuuliza mchungaj alisema inamaana kwmb kuna mambo mabaya yatampata hvyo tuombe kwa bidii ili yasimpate,na kwel ilitokea lkn coz tulikuwa tumeshaomba hayakumdhuru.
 
It means utakua chizi

ALL WORK WITH NO LOUPH MAKES MiSTAKE
 
Ndoto nzuri hiyo mkuu. Ndoto yeyote inayohusiana na kinyesi ina maana nzuri kwako. Ndoto mbaya ni zinazohusiana na maji
 

samahani mkuu,kama wewe ni me pengine huwa unakula tigo ndo maana unaota vitu kama hivyo,kama wewe ni ke pengine huwa unatoa tigo
 
mkuu nimezingatia hilo ndio maana nimeweka za kuchora...zipo picha halisi za kutosha tu....ila sitaziweka...

Hilo kiroho(Bible) inamaana kama wewe ni mkristo au muislam sehemu unayo abudu unalishwa mahubir au neno lisilo na power for that reason hata kama kuna matatizo yatakayokua yanakuja kwako yatakupata vizuri tu cos hauna roho mtakatifu bali roho wa kidunia ambae hawezi kukusaidia kwa shida yeyote,
so solution: tafuta mtumishi yeyote mwenye nguvu( upako) ataweza kukulisha neno la kweli na neno ndilo linalo mkaribisha roho mtakatifu na roho mtakatifu ndio ane kukonect wewe na God. hope nimeeleweka
na hii inaendana na ushauri mmoja hapo juu sema yeye kaishia njiani
 

nadhani ungemquote huyu..
cc: PRECIOUSNESS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…