Kijijini Kwetu
New Member
- Oct 5, 2013
- 2
- 0
Labda jana yake ulikuwa na mawazo ya freemason, au uliwasikia watu wakizungumzia kuhusu imani hiyo haramu na potofu. Cha msingi potezea!! usipoteze mda kuwaza mambo yasiyo ya msingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani jana ulikunywa viroba vingapi, hujasikia kuwa viroba vya siku hizi havina ubora?
Habar zen wana jf naomba msaada juu ya hili swal ambalo niliulizwa na mtu nikashindwa kumpa clear answer.hiv nin maana ya ndoto ambayo unaota kama unakula kinyesi, pls mwenye uelewa katika hilo naomba anijuze.kama hujui kama mm naomba tuwe wasomaji tu.
mkuu nimezingatia hilo ndio maana nimeweka za kuchora...zipo picha halisi za kutosha tu....ila sitaziweka...
Hilo kiroho(Bible) inamaana kama wewe ni mkristo au muislam sehemu unayo abudu unalishwa mahubir au neno lisilo na power for that reason hata kama kuna matatizo yatakayokua yanakuja kwako yatakupata vizuri tu cos hauna roho mtakatifu bali roho wa kidunia ambae hawezi kukusaidia kwa shida yeyote,
so solution: tafuta mtumishi yeyote mwenye nguvu( upako) ataweza kukulisha neno la kweli na neno ndilo linalo mkaribisha roho mtakatifu na roho mtakatifu ndio ane kukonect wewe na God. hope nimeeleweka
na hii inaendana na ushauri mmoja hapo juu sema yeye kaishia njiani