asante sisPole my young sis
Ni kuogelea tu kwa fun au you are struggling to save your life?
What else do you do, unakula kwenye ndoto?
mimi kiukweli siamini katika ndoto wala huwa sina time na ndoto nikiota nimeota tu!
lakini kwa sasa nimeona sio jambo la kawaida maana ni wiki sasa kila siku naota naogelea kwenye maji meengi jamani
au ndo naenda kurest in peace?
ni kawaida jamani au nishalogwa
nisaidieni mwenzenu
kabla ya kulala huwa nasali sana wala sifanyi dhambi usiku
naogopa hata kulala siku hizi maana nikilala tu bwawa la mtera linanihusu full kuogelea ,nakomaje???????
mmmmmh usione kichaka?Hey....you never told me!
mmmmmh usione kichaka?
ohooo ni nini jamani? niombee silali tena kwa kweliDuh mie si mfasir bt wanasema ndoto za maji smtms haziashirii jambo jema ....
sijui leo nitaogelea wapi sijui wami ?@Smile sweety, hi kesi kubwa.....inahitaji umakini wa ndani...bila external influence....:mwaaah:
nasikia ni wachawi wanakulisha nyama za watu unaitaji maombi mazito
aisee ni noma ila nasikia sometimes ni ishara kuwa utakuwa tajiri kwani unaamka umeshiba?Mama yangu nimewakosea nini mimi hao, maana kutwa nikuota nakula kitu!
Chamsingi lala na boya la kuogelea!ndoto type hiyo zikianza unalivuta tu taratiiiiib!