Nini tafsiri ya ndoto hii ?

Nini tafsiri ya ndoto hii ?

Mi nikiota nang'atwa na mbwa huwa siku tatu zinazofuata napata pesa nyingi;
.................. Kwako sijui;
 
mmmhh, bia ni ngumu kumeza mkuu! sijawahi hata kunusa harufu yake.
jisni unavyo tafsiri ndoto. inaweza kuwa ni kitendo cha kawaida kinacho kuwa katika mawazo yako na hivyo kitajirudia mara kwa mara maana utakuwa unajitahidi usukiote na hivyo utakuwa unakiwazia na hivyo kitajirudia ...cha maana soma vitabu na kuwa na maongezi ya faraja na mbadala, baada ya muda ndoto itapotea yenyewe, pia usichukulie kama hii ndoto ni swala la zito kwako chukulia ni kitu cha kawaida sana....
 
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiota ndoto niking'atwa na mbwa na ndoto hii imekuwa ikijirudia mara kwa mara. Nimejaribu kuwauliza wachungaji, manabii na watu mbalimbali wanipe tafsiri ya ndoto hii 'iliyoniganda' kwa miaka mingi sasa lakini sijafanikiwa kupata jawabu. Najua humu kuna manabii, wachungaji na watu wenye pako tofauti wanaoweza kunisaidia kuotolola (kutafsiri) ndoto hii. Inawezekana hili likawa aina fulani ya pepo chafu linalotaka kuniangamiza. Nikijua aina ya pepo hili itakuwa rahisi kupanga mkakati wa kulikemelea mbali kabla halijanidhulu.

Nawasilisha.
:israel:

Jee unakumbuka kabla ya kung'atwa huwa unafanya nini? (ktk ndoto)
 
...yatakuwa ni yale mapepo ya kile chama cha kijani yanakuandama kutokaba na msimamo wako wa kuunga mkono rasmu ya katiba...
 
Mbwa ni mpezi wa binadam, wa kufuga!
Una mke/mume Huenda ndiye anayekung'ta
 
Mkuu habari yako....Ndoto ni elimu iliokua ni pana sana...na kikwaida mara nyengine huwezi kutafsiri ndoto bila kujua aina ya mtu alieota....ndoto moja inaweza ikaotwa na watu wa2 tofauti na ikawa na maana tofauti.... Na sio kila ndoto ni mambo ya pepo (mashetani)...umesema unaota "unatafunwa na Mbwa"...Hapa tungalie vitu 2...anaetaufunwa na Mtafunaji....Kikawaida mbwa ni mnyama alieumbwa makhsusi kwa ajili ya ulinzi..kwa hio mbwa anaemtafuna mara nyingi ni mtu asiehitajika kuwepo kwenye maeneo fulani "a.k.a mtu mwizi"...kwa hio yawezekana kuna wizi au dhulma unaifanya na Mwenyezi Mungu anakuletea Mbwa huyu kukukataza uovu unaoufanya.....Pili Mbwa ni mnyama anaependa sana kula mizoga...kwa hio inawezekana wewe mhusika unafanya matendo ambayo hukumu yake ni kuuliwa...ndo kusema "wewe ni mfu unaetembea" kwa hio mbwa huyu anakula mzoga wako...matendo hayo ni kama kufanya zinaa....kufanya vitendo vya sodoma gomola a.k.a Liwati....kwa hio tafsiri ya ndoto yako ni massage unayoletewa juu ya maasi unayoyafanya na unatakiwa kuwacha...
 
“No one can serve two masters; for either he will hate the one and love the other, or else he will be loyal to the one and despise the other. You cannot serve God and mammon.” (Matthew 6:24 — New King James Version).
Similarly one cannot belong to two countries, and serve these two countries equally. His or her loyalty will definitely be in question.

However, I believe Dual citizenship to be worse than serving two masters, worse than the promiscuity of a husband or wife who chooses not to have one lover but prefers a “nyumba ndogo” to satisfy his/her gluttonous, carnal and covetous needs, it is more so similar to homosexual tendencies whereby people born male (want to) behave as female and those born as female (want to) behave as male, choosing to belong to both and to neither all at the same time! Confusing society! What toilets should they use? How should they be addressed e.t.c.

If you have a gender identity crisis HAVE A SEX CHANGE AND LIVE WITH IT! Save society the confusion.

Equally dual citizenship will fuel rise of such characters who will confuse society, to whom I equally say HAVE YOUR CITZENSHIP CHANGED AND LIVE WITH IT! You will confuse society! Are you Tanzanian or American? If there is conflict of interest in business or political interactions are you with us or against us? Where will your vote be?

Advocates of dual citizenship use the possibility of Direct Foreign Investment (DFI) as an advantage of this idea. AN ADVANTAGE TO WHOM I ASK? The 90% of poor peasant farmers in rural Tanzania who are the ones we need to alleviate from the burden of poverty or the 0.5% elites and 9.5% middle class easing their way into laundering more wealth for themselves here in TZ while taking profits abroad to take advantage of high interest rates and non volatile economies? (Who wants to save millions in a volatile economy of any African country?)

Dual citizenship will further increase the already large gap between the have and the have nots in Tanzania, a recipe for certain disaster! There will come a time that the poor will say no more to the injustices perpetrated by others under the guise of accelerated development. Tanzania will become another Zimbabwe when the have nots who are a majority of the population will rise and rebel since they will not be profiting from a proclaimed “strong economy”!

Supporters of dual citizenship should realize that there is more that our country needs than their promises of possible investment. For money is the creation of men, here today gone tomorrow, setting our principles and country laws on such a volatile entity is very unwise, but patriotism is the true measure of character and a persons worth, to serve his or her country no matter what the situation. If you have money to invest in TZ, come and invest it and employ us to run it, won’t dual citizenship give more jobs to “foreigners” as they undoubtedly have an advantage. There will be an influx of foreign workers and the poor Tanzanian as always will be left out!
It’s a shame to see our brothers and sisters having been corrupted by the mighty dollar, and to think that they can come flash their money and lure us to a trap set to lock us in poverty and create extreme wealth to an elite few! I say keep your money and enjoy your western life!

I AM READY TO TAKE ARMS FOR THIS CAUSE AND FOR MY COUNTRY, THE QUESTION IS ARE YOU?(and which country will that be I wonder? Male or female I wonder?)





Umeeleza vizuri mkuu
 
mbwa ni roho ya uzinzi hivyo kama amekungata inamaana wewe ni mzinzi na mwashareti upesi badilisha maisha yako toka kwenye uzinifu
 
Roho ya uzinzi inakufuatilia,inabidi uivunje hiyo roho
 
To dream that a dog bites you on the leg suggests that you have lost your ability to balance aspects of your life. You may be hesitant in approaching a new situation or have no desire to move forward with your goals. Alternatively, it symbolizes disloyalty. To dream that someone is bitten by a dog indicates a betrayal. You feel that you have been wronged by this person.
 
Jee unakumbuka kabla ya kung'atwa huwa unafanya nini? (ktk ndoto)

hata bila kufanya chochote hunijia ndotoni na imekuwa ikijirudiarudia mara kwa mara yapata miaka 15 sasa.
 
Back
Top Bottom