Nini tatizo la Taa za Check Engine, VSC na Trac Off kuwaka kwa pamoja

Nini tatizo la Taa za Check Engine, VSC na Trac Off kuwaka kwa pamoja

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,374
Reaction score
6,857
Toyota Crown ya 2004 kila ulikitembea km 37-40 hizo taa zinawaka kwa pamoja ikianza na taa ya check engine halafu ndani ya sekunde chache zinawaka hizo zingine kwa pamoja. Ukizima gari na kuliwasha tena tatizo linapoteza, ukitembea tena km 37 taa zinawaka.

Gari bado lina nguvu na kila kitu kipo sawa na hakuna tatizo lolote mechanically. Nilijaribu kuangalia YouTube nikaona ni mfumo wa mafuta kwenye kifuniko nimekisafisha na kufunga tena likaenda km45 ikawasha tena taa.

Nilipeleka gari kwa jamaa akacheck kwa tablet (diagnosis system), ilileta codes za oxygen sensor na ABS lakini aliziclear akasema tatizo limeisha. Akazipima sensor akasema zinafanya kazi vizuri tu. Nilivyoendesha kufika 60 km taa zile zikawaka.

Nimefanya service gari kumwaga engine oil na transmission (ilifika km elfu 30) lakini bado taa zinawaka.

Naomba mwenye kujua way forward asaidie hapo.

Asante.

Screenshot_20220525-072142_Gallery.jpg
P-IMG-20220519-WA0031.jpg
 
Nilipeleka gari kwa jamaa akacheck kwa tablet (diagnosis system), ilileta codes za oxygen sensor na ABS lakini aliziclear akasema tatizo limeisha. Akazipima sensor akasema zinafanya kazi vizuri tu. Nilivyoendesha kufika 60 km taa zile zikawaka.

Humu ndani huwa tunasema kila siku.

Kuclear code hakuondoi tatizo hata siku moja, Hasa kwa code kama hizo zako ambazo status yake ni Current au Pending. Huwa tunaclear kama yamekuja matatizo mengi huelewi uanze na lipi umalize na lipi. Tunaclear, tunatest drive then ikiwaka tena check engine ndio tunaanzia hapo.

Hizo oxygen sensor alipima zote 4 au alipima za upande gani? Alipimia juu kwenye engine au ndani siti za mbele ukitoa hayo makapeti?

So far hiyo sensor iliyosoma hapo imekaa mahali pabovu kama ilivyokaa starter ya hiyo gari. Mtu kukuambia 150k kufungua tu starter ya Crown au Mark X ni bei ya kawaida tu.

The same kwa hiyo oxygen sensor kama hauna spanner yake lazima itoke vipande na haitofaa. Na hata ukiwa na spanner yake kazi si rahisi.

Nimefanya service gari kumwaga engine oil na transmission (ilifika km elfu 30) lakini bado taa zinawaka.

Hii ilikuwa kuzurula tu.

Naomba mwenye kujua way forward asaidie hapo.
Asante

Way forward Swap hizo Oxygen sensor za Uvunguni.

Kama tatizo likihamia Bank 1, kanunue oxygen sensor nyingine.

Kama tatizo likibakia hivyo hivyo then tatizo haitokuwa oxygen sensor ili ni kitu kingine.

Kama ukikwama na upo Dar, Nipigie 0621 221 606
 
Humu ndani huwa tunasema kila siku.

Kuclear code hakuondoi tatizo hata siku moja, Hasa kwa code kama hizo zako ambazo status yake ni Current au Pending. Huwa tunaclear kama yamekuja matatizo mengi huelewi uanze na lipi umalize na lipi. Tunaclear, tunatest drive then ikiwaka tena check engine ndio tunaanzia hapo.

Hizo oxygen sensor alipima zote 4 au alipima za upande gani? Alipimia juu kwenye engine au ndani siti za mbele ukitoa hayo makapeti?

So far hiyo sensor iliyosoma hapo imekaa mahali pabovu kama ilivyokaa starter ya hiyo gari. Mtu kukuambia 150k kufungua tu starter ya Crown au Mark X ni bei ya kawaida tu.

The same kwa hiyo oxygen sensor kama hauna spanner yake lazima itoke vipande na haitofaa. Na hata ukiwa na spanner yake kazi si rahisi.



Hii ilikuwa kuzurula tu.



Way forward Swap hizo Oxygen sensor za Uvunguni.

Kama tatizo likihamia Bank 1, kanunue oxygen sensor nyingine.

Kama tatizo likibakia hivyo hivyo then tatizo haitokuwa oxygen sensor ili ni kitu kingine.

Kama ukikwama na upo Dar, Nipigie 0621 221 606
Sisi wengine ni kama usiku WA Giza hapaaa..
Duu maana sijui chochote kinachoendelea aisee anyway asante sana Kwa ushauri wako
 
Humu ndani huwa tunasema kila siku.

Kuclear code hakuondoi tatizo hata siku moja, Hasa kwa code kama hizo zako ambazo status yake ni Current au Pending. Huwa tunaclear kama yamekuja matatizo mengi huelewi uanze na lipi umalize na lipi. Tunaclear, tunatest drive then ikiwaka tena check engine ndio tunaanzia hapo.

Hizo oxygen sensor alipima zote 4 au alipima za upande gani? Alipimia juu kwenye engine au ndani siti za mbele ukitoa hayo makapeti?

So far hiyo sensor iliyosoma hapo imekaa mahali pabovu kama ilivyokaa starter ya hiyo gari. Mtu kukuambia 150k kufungua tu starter ya Crown au Mark X ni bei ya kawaida tu.

The same kwa hiyo oxygen sensor kama hauna spanner yake lazima itoke vipande na haitofaa. Na hata ukiwa na spanner yake kazi si rahisi.



Hii ilikuwa kuzurula tu.



Way forward Swap hizo Oxygen sensor za Uvunguni.

Kama tatizo likihamia Bank 1, kanunue oxygen sensor nyingine.

Kama tatizo likibakia hivyo hivyo then tatizo haitokuwa oxygen sensor ili ni kitu kingine.

Kama ukikwama na upo Dar, Nipigie 0621 221 606
First week of June nakuja DAR nitakutafuta
 
Humu ndani huwa tunasema kila siku.

Kuclear code hakuondoi tatizo hata siku moja, Hasa kwa code kama hizo zako ambazo status yake ni Current au Pending. Huwa tunaclear kama yamekuja matatizo mengi huelewi uanze na lipi umalize na lipi. Tunaclear, tunatest drive then ikiwaka tena check engine ndio tunaanzia hapo.

Hizo oxygen sensor alipima zote 4 au alipima za upande gani? Alipimia juu kwenye engine au ndani siti za mbele ukitoa hayo makapeti?

So far hiyo sensor iliyosoma hapo imekaa mahali pabovu kama ilivyokaa starter ya hiyo gari. Mtu kukuambia 150k kufungua tu starter ya Crown au Mark X ni bei ya kawaida tu.

The same kwa hiyo oxygen sensor kama hauna spanner yake lazima itoke vipande na haitofaa. Na hata ukiwa na spanner yake kazi si rahisi.



Hii ilikuwa kuzurula tu.



Way forward Swap hizo Oxygen sensor za Uvunguni.

Kama tatizo likihamia Bank 1, kanunue oxygen sensor nyingine.

Kama tatizo likibakia hivyo hivyo then tatizo haitokuwa oxygen sensor ili ni kitu kingine.

Kama ukikwama na upo Dar, Nipigie 0621 221 606
Mkuu nashukuru umemjibu vizri

Yangu ilishakuwa na tatizo hilo

Nilichokifanya nilihangaika sana kwa mafundi wapi

Lkn nilikutana na fundi mmoja akafungu hiyo oksijen sensors juu ya cliner akaisafisha vizr na petrol

Nakuifunga vizr kabisa

Hadi leo gari imepata nguvu na haina tatizo lolote.

Pili haya magari yetu tunapitisha kwenye njia ya vumbi hivyo kwa vyovyote vile vumbi pia inaingiaga kwenye oksijen sensors na kushindwa kusense kwa sababu ya vumbi.

Mimi sio fundi ila nilifanya hivyo tatizo likaisha


Swali nikuulize ulaji wa mafuta ikoje na gari yako ina nguvu???

Kama zote hizo zipo shida ni oksijen sensors

Mkuu

Check hiyo picha hapo itakusadia mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20210613-180740_Chrome.jpg
    Screenshot_20210613-180740_Chrome.jpg
    81.1 KB · Views: 121
Mkuu nashukuru umemjibu vizri

Yangu ilishakuwa na tatizo hilo

Nilichokifanya nilihangaika sana kwa mafundi wapi

Lkn nilikutana na fundi mmoja akafungu hiyo oksijen sensors juu ya cliner akaisafisha vizr na petrol

Nakuifunga vizr kabisa

Hadi leo gari imepata nguvu na haina tatizo lolote.

Pili haya magari yetu tunapitisha kwenye njia ya vumbi hivyo kwa vyovyote vile vumbi pia inaingiaga kwenye oksijen sensors na kushindwa kusense kwa sababu ya vumbi.

Mimi sio fundi ila nilifanya hivyo tatizo likaisha


Swali nikuulize ulaji wa mafuta ikoje na gari yako ina nguvu???

Kama zote hizo zipo shida ni oksijen sensors

Mkuu

Check hiyo picha hapo itakusadia mkuu
Ulaji wa mafuta kama inavyoonyesha kwenye dashboard niliyoweka juu naenda hadi km 11/lita.
Gari bado ina nguvu ya kutunishiana msuli na X3 tukadroo
 
Mkuu nashukuru umemjibu vizri

Yangu ilishakuwa na tatizo hilo

Nilichokifanya nilihangaika sana kwa mafundi wapi

Lkn nilikutana na fundi mmoja akafungu hiyo oksijen sensors juu ya cliner akaisafisha vizr na petrol

Nakuifunga vizr kabisa

Hadi leo gari imepata nguvu na haina tatizo lolote.

Pili haya magari yetu tunapitisha kwenye njia ya vumbi hivyo kwa vyovyote vile vumbi pia inaingiaga kwenye oksijen sensors na kushindwa kusense kwa sababu ya vumbi.

Mimi sio fundi ila nilifanya hivyo tatizo likaisha


Swali nikuulize ulaji wa mafuta ikoje na gari yako ina nguvu???

Kama zote hizo zipo shida ni oksijen sensors

Mkuu

Check hiyo picha hapo itakusadia mkuu
Naweza kupata namba ya huyo fundi?
 
Pole sana, ngoja waje kukupa muongozo...
Sawa nawasubiri ingawa hizi comments za mwanzo zinanipa matumaini ya kufanikiwa nikiwaona.

Swali langu ni dogo tu, je naweza kuendelea kuendesha gari wakati hizo warning light zinawaka? Halafu kwann ziwake kila baada ya km 37? Yaani ni constant...nikizima gari na kuwasha taa zote zinazima lakini nikienda na kufika km 37 taa zinawaka
 
Mkuu nashukuru umemjibu vizri

Yangu ilishakuwa na tatizo hilo

Nilichokifanya nilihangaika sana kwa mafundi wapi

Lkn nilikutana na fundi mmoja akafungu hiyo oksijen sensors juu ya cliner akaisafisha vizr na petrol

Nakuifunga vizr kabisa

Hadi leo gari imepata nguvu na haina tatizo lolote.

Pili haya magari yetu tunapitisha kwenye njia ya vumbi hivyo kwa vyovyote vile vumbi pia inaingiaga kwenye oksijen sensors na kushindwa kusense kwa sababu ya vumbi.

Mimi sio fundi ila nilifanya hivyo tatizo likaisha


Swali nikuulize ulaji wa mafuta ikoje na gari yako ina nguvu???

Kama zote hizo zipo shida ni oksijen sensors

Mkuu

Check hiyo picha hapo itakusadia mkuu
Hiyo yako itakuwa ilikuwa Mass Air flow Sensor.

Hii ya jamaa ni Oxygen sensor ambayo hufungwa kwenye exhaust.

Na kwa crown inayozungumshwa hapa iko uvunguni.
 
Hiyo yako itakuwa ilikuwa Mass Air flow Sensor.

Hii ya jamaa ni Oxygen sensor ambayo hufungwa kwenye exhaust.

Na kwa crown inayozungumshwa hapa iko uvunguni.
Niliwahi kuosha gari kwa maji huko chini ya gari na next day baada ya kusafiri long safari ndio tatizo likaanza
 
Nilishawai kupata tatizo kama hilo nina Toyota crown toleo la 2006, tatizo lilikuwa oxygen sensor ya bank B ilibadilishwa na tatizo likaisha.
 
Pole Sana mkuu,tatizo Hilo linatibika kabisa.
 
Back
Top Bottom