Nini tija ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwa Walimu?

Nini tija ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwa Walimu?

Ngoja nimtag mwamba aje a achangie huu uzi
mpwayungu village

Ova
CWT sio Chama cha serikali bali ni taasisi inayomilikiwa na walimu,hiki Chama nichakiharakati chenye lengo la kumtetea mwalimu pale anapopata matatizo pamoja nakutetea maslahi ya walimu

UHALISIA : kwasababu cwt viongozi wao wengi nipandikizi, Wala rushwa, Majizi ndio maana hakijali tena walimu wanajijali wenyewe. Mwalimu unaweza kusitishiwa mshahara wako Kwa sababu mbalimbali ukaamua kwenda Kwa viongozi wa CWT wakutetee lakini hawafatilii na Wala hawajali matatizo yako
 
Kwa uchache malengo ya vyama vya wafanyakazi ni kutetea maslahi na haki za wanachama wao, ama vile mazingira Bora ya kufanyia kazi, mishahara inayoweza kukizi mahitaji n.k
Wanahitaji kumkata mwalimu pesa kwa ajili ya kumtetea maslahi yake?
HIzo gharama zinatumikaje!?
 
Nilipoona Magreth Sitta alikuwa Rais wa CWT akagombea ubunge na alivyoshinda JK akampa uwaziri wa elimu kisha akawasaliti walimu wenzake basi niliishiwa hamu.

walimu wangekuwa wanajitambuwa wao ndio makarani wa uchaguzi wangetumia fursa hiyo kuiadhibu Ccm, lakini wenyewe ndio wamegeuka makuwadi wa kuratibu wizi wa kura.
Adui wa mtu ni wale wa nyumbani kwake.


Walimu wanasalitiana kama ambavyo wabunge wanavyowasaliti wananchi
 
CWT sio Chama cha serikali bali ni taasisi inayomilikiwa na walimu,hiki Chama nichakiharakati chenye lengo la kumtetea mwalimu pale anapopata matatizo pamoja nakutetea maslahi ya walimu

UHALISIA : kwasababu cwt viongozi wao wengi nipandikizi, Wala rushwa, Majizi ndio maana hakijali tena walimu wanajijali wenyewe. Mwalimu unaweza kusitishiwa mshahara wako Kwa sababu mbalimbali ukaamua kwenda Kwa viongozi wa CWT wakutetee lakini hawafatilii na Wala hawajali matatizo yako
Je mazingira ya kazi yanahusika kwenye wajibu wa chama kwa wanachama wake?
 
Amani iwe kwenu,

Katika tafakuri yangu weekend hii nimejiuliza maswali kadhaa kuhusu faida wanayoipata waalimu kupitia chama chao cha waalimu kitaifa.
Kuna mambo kadhaa yanayotafakarisha nikaona vyema nije kwenu wanaJF tusaidiane kupata majibu.
  1. Tukianza na usajili wa chama cha waalimu, je ni cha kiserikali au NGO?
  2. Chama hiki kilianzishwa kwa takwa la waalimu au setikali iliwaundia chama chao kama inavyounda bodi za kudhibiti taaluma mbalimbali Tanzania?
  3. Chama hiki kinapokea makato na michango ya waalimu kutoka kwenye mishahara yao. Je michango au tozo hizo zinamfaidisbaje mwalimu kiuchumi kwa sababu siyo kodi ya serikali.
  4. Je chama kina mamlaka ya kusimamia taaluma za walimu? Chama kinaweza kumfutia mwalimu cheti chake cha ualimu?
  5. Umiliki wa mali unaofanywa na chama, kunawafaidishaje waalimu kwenye faida zitokanazo na mali hizo?
  6. CWT kimekuwa kikitambulishwa kwenye sherehe za Mei Mosi na serikali imekuwa ikitoa majibu ya matatizo ya waalimu kwa kuaddress chama chao.
  7. Chama hiki kama kinasimamia waalimu. Je vipi uhusika wa usimamizi wake kwenye utoaji wa taaluma yaani ustawi wa mitaala na qualitative education?
  8. Kwa nini serikali inapenyeza watu wake kushika nafasi za juu za uongozi wa chama hiki? Najua ninalolisema
Lengo la uzi huu ni kutambua malengo, wajibu na kazi za chama cha walimu (CWT).

Pia walimu mliopo humu mnakionaje chama hiki kama kinakidhi takwa la umoja wa waalimu au ni eneo lingine la siasa za Tanzania?
Mimi siioni labda waje wenyewe waalimu watwambie
 
Amani iwe kwenu,

Katika tafakuri yangu weekend hii nimejiuliza maswali kadhaa kuhusu faida wanayoipata waalimu kupitia chama chao cha waalimu kitaifa.
Kuna mambo kadhaa yanayotafakarisha nikaona vyema nije kwenu wanaJF tusaidiane kupata majibu.
  1. Tukianza na usajili wa chama cha waalimu, je ni cha kiserikali au NGO?
  2. Chama hiki kilianzishwa kwa takwa la waalimu au setikali iliwaundia chama chao kama inavyounda bodi za kudhibiti taaluma mbalimbali Tanzania?
  3. Chama hiki kinapokea makato na michango ya waalimu kutoka kwenye mishahara yao. Je michango au tozo hizo zinamfaidisbaje mwalimu kiuchumi kwa sababu siyo kodi ya serikali.
  4. Je chama kina mamlaka ya kusimamia taaluma za walimu? Chama kinaweza kumfutia mwalimu cheti chake cha ualimu?
  5. Umiliki wa mali unaofanywa na chama, kunawafaidishaje waalimu kwenye faida zitokanazo na mali hizo?
  6. CWT kimekuwa kikitambulishwa kwenye sherehe za Mei Mosi na serikali imekuwa ikitoa majibu ya matatizo ya waalimu kwa kuaddress chama chao.
  7. Chama hiki kama kinasimamia waalimu. Je vipi uhusika wa usimamizi wake kwenye utoaji wa taaluma yaani ustawi wa mitaala na qualitative education?
  8. Kwa nini serikali inapenyeza watu wake kushika nafasi za juu za uongozi wa chama hiki? Najua ninalolisema
Lengo la uzi huu ni kutambua malengo, wajibu na kazi za chama cha walimu (CWT).

Pia walimu mliopo humu mnakionaje chama hiki kama kinakidhi takwa la umoja wa waalimu au ni eneo lingine la siasa za Tanzania?
Ukijua kazi ya hawa hapa utajua kazi hicho chama
  1. ACT Waz
  2. Chapa ya Jogoo Magomeni Uslama
  3. Chama cha wenye Mandevu kule Buguruni
 
Ukijua kazi ya hawa hapa utajua kazi hicho chama
  1. ACT Waz
  2. Chapa ya Jogoo Magomeni Uslama
  3. Chama cha wenye Mandevu kule Buguruni
Mapandikizi siyo?
Kwa hivyo walimu wanahusika kwenye kura?
 
kile chama hamna kitu zaidi ya kuwanyonya walimu,hela ya CWT wanayomkata mwalimu inaelekeana na hela ya NHIF ambapo anakuwa na wategemezi sita
mi nilipendekeza angalau wakate 0.2% ili inayobaki waielekeze kwenye mfuko wa bima
hayo yote hayawezekani maana chama ni cha maticha ila nyuma yake kina watu wazito
 
Amani iwe kwenu,

Katika tafakuri yangu weekend hii nimejiuliza maswali kadhaa kuhusu faida wanayoipata waalimu kupitia chama chao cha waalimu kitaifa.
Kuna mambo kadhaa yanayotafakarisha nikaona vyema nije kwenu wanaJF tusaidiane kupata majibu.
  1. Tukianza na usajili wa chama cha waalimu, je ni cha kiserikali au NGO?
  2. Chama hiki kilianzishwa kwa takwa la waalimu au setikali iliwaundia chama chao kama inavyounda bodi za kudhibiti taaluma mbalimbali Tanzania?
  3. Chama hiki kinapokea makato na michango ya waalimu kutoka kwenye mishahara yao. Je michango au tozo hizo zinamfaidisbaje mwalimu kiuchumi kwa sababu siyo kodi ya serikali.
  4. Je chama kina mamlaka ya kusimamia taaluma za walimu? Chama kinaweza kumfutia mwalimu cheti chake cha ualimu?
  5. Umiliki wa mali unaofanywa na chama, kunawafaidishaje waalimu kwenye faida zitokanazo na mali hizo?
  6. CWT kimekuwa kikitambulishwa kwenye sherehe za Mei Mosi na serikali imekuwa ikitoa majibu ya matatizo ya waalimu kwa kuaddress chama chao.
  7. Chama hiki kama kinasimamia waalimu. Je vipi uhusika wa usimamizi wake kwenye utoaji wa taaluma yaani ustawi wa mitaala na qualitative education?
  8. Kwa nini serikali inapenyeza watu wake kushika nafasi za juu za uongozi wa chama hiki? Najua ninalolisema
Lengo la uzi huu ni kutambua malengo, wajibu na kazi za chama cha walimu (CWT).

Pia walimu mliopo humu mnakionaje chama hiki kama kinakidhi takwa la umoja wa waalimu au ni eneo lingine la siasa za Tanzania?
Mimi ulivyotumia neno takeaway kwenye maelezo yako inanimate ukakasi sana ;kwenye kiswahili hakuna umoja ama uwingi wa matakwa iwe umoja au uwingi neno ni moja tu yaani matakwa tu,yapo maneno mengi hayana uwingi au umoja
 
Amani iwe kwenu,

Katika tafakuri yangu weekend hii nimejiuliza maswali kadhaa kuhusu faida wanayoipata waalimu kupitia chama chao cha waalimu kitaifa.
Kuna mambo kadhaa yanayotafakarisha nikaona vyema nije kwenu wanaJF tusaidiane kupata majibu.
  1. Tukianza na usajili wa chama cha waalimu, je ni cha kiserikali au NGO?
  2. Chama hiki kilianzishwa kwa takwa la waalimu au setikali iliwaundia chama chao kama inavyounda bodi za kudhibiti taaluma mbalimbali Tanzania?
  3. Chama hiki kinapokea makato na michango ya waalimu kutoka kwenye mishahara yao. Je michango au tozo hizo zinamfaidisbaje mwalimu kiuchumi kwa sababu siyo kodi ya serikali.
  4. Je chama kina mamlaka ya kusimamia taaluma za walimu? Chama kinaweza kumfutia mwalimu cheti chake cha ualimu?
  5. Umiliki wa mali unaofanywa na chama, kunawafaidishaje waalimu kwenye faida zitokanazo na mali hizo?
  6. CWT kimekuwa kikitambulishwa kwenye sherehe za Mei Mosi na serikali imekuwa ikitoa majibu ya matatizo ya waalimu kwa kuaddress chama chao.
  7. Chama hiki kama kinasimamia waalimu. Je vipi uhusika wa usimamizi wake kwenye utoaji wa taaluma yaani ustawi wa mitaala na qualitative education?
  8. Kwa nini serikali inapenyeza watu wake kushika nafasi za juu za uongozi wa chama hiki? Najua ninalolisema
Lengo la uzi huu ni kutambua malengo, wajibu na kazi za chama cha walimu (CWT).

Pia walimu mliopo humu mnakionaje chama hiki kama kinakidhi takwa la umoja wa waalimu au ni eneo lingine la siasa za Tanzania?
Lengo la vyama vingi vya wafanyakazi ikiwa ni pamoja na CWT ni kuwagawa wafanyakazi dtu wale wahenga tukumbuke enzi za JUWATA chama kilikuwa na nguvu maana kilikuwa kinaunganisha wafanyakazi wote
 
Huyu Mama sitta aliunda kampuni tanzu ndani ya cwt ya kusimamia biashara za cwt na ndiyo inayomiliki mwalimu house pale ilala na mapato yake hayaeleweki yanakoingia na wakurugenzi wake siyo walimu. Nina wasiwasi kuwa hata hiyo benki siyo ya walimu na huenda ipo chini ya Mama sitta! Walimu wameibiwa mno na cwt ndio maana mh. Magufuli alikionya na kutaka kuifuta Ile benki.
 
Hakina msaada, viongozi wapo kwa ajili ya maslahi yao na si ya walimu,
 
Back
Top Bottom