A degree in Art Education is an excellent way for art enthusiasts to pursue a fulfilling career by bringing art into students' lives. Art teachers teach methods and techniques but also give their students the opportunity to release their creativity in a safe, supportive environment. Art classes improve students' problem solving and critical thinking skills so art teachers make an impact beyond the classroom. Art class is also a place where students who may be struggling in other classes, can gain confidence and take pride in their unique creations.
Nilishamueleza awali lakini nikaona hana imani hata kidogo ndo maana nikamtumia passage asome mwenyewe.
Wadau heshima yenu! Naomba mnisaidie haya yafuatayo, kwanza naomba tofauti ya hizi university programes kati ya:
BA. Arts in Education na BA. Arts with Education.
Pili, hivi mtu aliyesoma digree ya Fine Art kama iliyoanzishwa Udom, ataifanyia kazi gani mfano hapa Tanzania? Kweli kuna soko la ajira zake?
Natanguliza shukrani.
Tofauti kubwa ni kuwa Arts in education wanaandaliwa kuwa walimu wa vyuo vya ualimu kwenye masomo ya arts au ma administrator kwenye elimu. Hivyo masomo mengi wanayosoma ni ya ualimu na somo moja la kufundisha let say English. Lakini BA with education wanaandaliwa kwa ajili ya kufundisha shule za sekondari hivyo wao wanasoma masomo ya ualimu kwa kiwango kidogo sana na kujikita zaidi kwenye masomo ya mawili yanayofundishwa kwenye shule za sekondari za A-level mfano atasoma zaidi English na Historia na kidogo sana ualimu.
hongera sana mimi nasoma in education na ndivyo ilvyo safi kwa ufafanuzi mzuri sina la kuongeza hapoTofauti kubwa ni kuwa Arts in education wanaandaliwa kuwa walimu wa vyuo vya ualimu kwenye masomo ya arts au ma administrator kwenye elimu. Hivyo masomo mengi wanayosoma ni ya ualimu na somo moja la kufundisha let say English. Lakini BA with education wanaandaliwa kwa ajili ya kufundisha shule za sekondari hivyo wao wanasoma masomo ya ualimu kwa kiwango kidogo sana na kujikita zaidi kwenye masomo ya mawili yanayofundishwa kwenye shule za sekondari za A-level mfano atasoma zaidi English na Historia na kidogo sana ualimu.
Mimi nimechaguliwa BA OF EDUCATION,sasa wanandugu hii yenyewe inakuwaje au inahusika na nini?Naomba mnisaidie pia
Wadau vipi kuhusu barchelor of science in physics unakuwa nani baada ya kusoma na vp kuhusu ajira naomba msaada wen wa maelezo ya kina karibuni
Mimi nimechaguliwa BA OF EDUCATION,sasa wanandugu hii yenyewe inakuwaje au inahusika na nini?Naomba mnisaidie pia
Iangalie vizuri mkuu,sidhani kama ndo inaitwa hivyo!
Inaitwa BARCHEOL OF EDUCATION,ko inakuwaje?
Iangalie vizuri mkuu,sidhani kama ndo inaitwa hivyo!
Inaitwa BARCHEOL OF EDUCATION,ko inakuwaje?
Inaitwa Bachelor of Education in Arts