Wadau heshima yenu! Naomba mnisaidie haya yafuatayo, kwanza naomba tofauti ya hizi university programes kati ya:
BA. Arts in Education na BA. Arts with Education.
Pili, hivi mtu aliyesoma digree ya Fine Art kama iliyoanzishwa Udom, ataifanyia kazi gani mfano hapa Tanzania? Kweli kuna soko la ajira zake?
Natanguliza shukrani.
BA. Arts in Education na BA. Arts with Education.
Pili, hivi mtu aliyesoma digree ya Fine Art kama iliyoanzishwa Udom, ataifanyia kazi gani mfano hapa Tanzania? Kweli kuna soko la ajira zake?
Natanguliza shukrani.