mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Nimeona kwa sasa kijana anaweza kutoka shule ya msingi akapangiwa moja kwa moja kwenda sekondari form one au la wakampangia kwenda chuo (college) cha ufundi.
Au akatoka form four akapangiwa kuendelea na sekondari fomu six au akapangiwa kwenda college.
Ipi ni njia bora kati ya hizo kwa kijana?
Toa sababu.
Au akatoka form four akapangiwa kuendelea na sekondari fomu six au akapangiwa kwenda college.
Ipi ni njia bora kati ya hizo kwa kijana?
Toa sababu.