Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hiyo fluent ya form two ilikuwaje mzee kwamba uliweza kuongea na tone kama ya Native speaker?Kingerezi Ni kirahisi Nilikuwa fluent nikiwa Form two kuna wazungu nilikuwa naishi nao community moja "Angelica sisters" miaka ile
sasa nataka kumaster "Romance languages"
Tafuta app utajifunza kwa haraka zaidiKingerezi Ni kirahisi Nilikuwa fluent nikiwa Form two kuna wazungu nilikuwa naishi nao community moja "Angelica sisters" miaka ile
sasa nataka kumaster "Romance languages"
Duolingo sioTafuta app utajifunza kwa haraka zaidi
Duolingo sio
Haha unakosa nn boss,majibu au?Ndio tena nmeifuta maana nakosa sana
App gani ya kujifunza kiingereza fluentHaha unakosa nn boss,majibu au?
Ihe nacho?jajaja bien hecho
Kama wewe ni intermediate unatafuta fluency ya kuongea ingia playstore au appstore search English conversation,app zake zipo nyingi mno unachagua unayohitaji...Waongeaji wa humo ni natives kabisa kama Waingereza na Wamarekani....Kabla ya kudownload angalia reviews kama watu wanaikubali hiyo app na kuipa angalau 4 au 5 stars kabisa. Mimi nilijifunzia huko na nilipofikia si haba.
Yaani imekaa kama game hivi halafu kuna vocabularies zinanishindaHaha unakosa nn boss,majibu au?
Uje unifundishe siku slangsKama wewe ni intermediate unatafuta fluency ya kuongea ingia playstore au appstore search English conversation,app zake zipo nyingi mno unachagua unayohitaji...Waongeaji wa humo ni natives kabisa kama Waingereza na Wamarekani....Kabla ya kudownload angalia reviews kama watu wanaikubali hiyo app na kuipa angalau 4 au 5 stars kabisa. Mimi nilijifunzia huko na nilipofikia si haba.
Ungepitia na zile articles zao boss...ila Mimi nshasema English ni tosha kwangu, ntakitumia hicho hicho sehemu n'nazoenda..Na sehemu hizo ninazoenda kiingereza ndo lugha yao kuu..,sioni hata haja ya lugha nyingine.Yaani imekaa kama game hivi halafu kuna vocabularies zinanishinda
Mfano : i want to buy a t-shirt
Spanish : yo quiero comprar una camiseta
Hizo vowel zinanichanganya mno
Mfano mwingine
A difficult exam
In Spanish un examen difícil
Zile za kimarekani?Uje unifundishe siku slangs
Nitajaribu kupitia nione kama nitaelewaUngepitia na zile articles zao boss...ila Mimi nshasema English ni tosha kwangu, ntakitumia hicho hicho sehemu n'nazoenda..Na sehemu hizo ninazoenda kiingereza ndo lugha yao kuu..,sioni hata haja ya lugha nyingine.
Ndio hizoZile za kimarekani?
😆😆😆 Mimi nakuona una kitu mbonaNitajaribu kupitia nione kama nitaelewa
You are right , English ndo kila kitu
Usiniite bosi yaani wakati sna kitu 😀
Kuna app fulani hivi ntakutumia jina..,hakuna hata haja ya kuwa na mentor.Ndio hizo