Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Me naona huko mafuta yanapochukuliwa yanakuwa yana hali moja..(ubora)Ina maana huwa hawakaguliwi au wanachakachua wakifikisha kituo cha mafuta
Ina maana huwa hawakaguliwi au wanachakachua wakifikisha kituo cha mafuta
Msamehe bure, mara tank chafu mara hivi, ye ajue tu sio kila petrol station ni ya kununua mafuta.Kwa wamiliki wa magari mazuri na wanaopenda magari yao wanajua ila kama mtu anaendesha guta anaweka mafuta tu popote! Kuna gari ambazo ukiweka mafuta ya hovyo hata kuwaka haiondoki!
Kuna sheli zinafungiwa kwa kuchakachua mafuta hujawa lisikia hili pia... usifananishe total puma na vitu vya ajabu ajabu...Hilo gari labda uliweka mafuta ya taa badala petrol ndo likakataa kuondoka.. Kuna watu wanaweka mafuta ya zaidi ya sh million moja kwa trip na wanaweka sheli yoyote tu wanacho angalia ni bei na huwezi kusikia semi trailer imekataa kuondoka kisa wameweka mafuta shel flani. Kwa bongo mafuta ni yale yale tu. Total, oilcom, puma na hizi shel ndogo za mtaani zote wananunua mafuta sehem moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo gari labda uliweka mafuta ya taa badala petrol ndo likakataa kuondoka.. Kuna watu wanaweka mafuta ya zaidi ya sh million moja kwa trip na wanaweka sheli yoyote tu wanacho angalia ni bei na huwezi kusikia semi trailer imekataa kuondoka kisa wameweka mafuta shel flani. Kwa bongo mafuta ni yale yale tu. Total, oilcom, puma na hizi shel ndogo za mtaani zote wananunua mafuta sehem moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishawahi nunua diesel Kigoma.Hilo gari labda uliweka mafuta ya taa badala petrol ndo likakataa kuondoka.. Kuna watu wanaweka mafuta ya zaidi ya sh million moja kwa trip na wanaweka sheli yoyote tu wanacho angalia ni bei na huwezi kusikia semi trailer imekataa kuondoka kisa wameweka mafuta shel flani. Kwa bongo mafuta ni yale yale tu. Total, oilcom, puma na hizi shel ndogo za mtaani zote wananunua mafuta sehem moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Shel zinafungiwa kwa kubana pump sio kuchakachua mafuta. Hivi unafkiri kuchakachua petrol ni easy kama maziwa unaweza kutia maji tu???Kuna sheli zinafungiwa kwa kuchakachua mafuta hujawa lisikia hili pia... usifananishe total puma na vitu vya ajabu ajabu...
wanachakachua mzee bongo vyote vinawezekana na ndio maana PUMA TOTAL zinaheshimika kwa ubora wao na nidhamu miaka nenda rudi ingekua mafuta yote ni sawa nao wangekua wakawaida tu kama hizo Kayumba oilcom. Kila kitu kina grade mkuu pia usifananishe injini ya scania na hizi gari ndogo.Shel zinafungiwa kwa kubana pump sio kuchakachua mafuta. Hivi unafkiri kuchakachua petrol ni easy kama maziwa unaweza kutia maji tu???
Sent using Jamii Forums mobile app
wanachakachua mzee bongo vyote vinawezekana na ndio maana PUMA TOTAL zinaheshimika kwa ubora wao na nidhamu miaka nenda rudi ingekua mafuta yote ni sawa nao wangekua wakawaida tu kama hizo Kayumba oilcom. Kila kitu kina grade mkuu pia usifananishe injini ya scania na hizi gari ndogo.
Sasa kama ni yaleyale mbona bei tofaut? Provided kwa vituo vya hapa dar nikimaanisha sio mbali na depot hivyo transportation fee haipoOk puma au total kuwa bora ni mtazamo wako tu mimi naongelea uhalisia. Mafuta ya total na kayumba oilcom ni yale yale hakuna kinachoongezwa wala kupunguzwa yote wanatoka sehem moja. Usifkiri kisa total ni kampuni ya wazungu ukadhani mafuta yao wanatoa ulaya. Total unazoona bongo zinaendeshwa na waarabu na waswahili hao hao wanaomiliki shel za kayumba wanatumia tu brand ya total.
Sent using Jamii Forums mobile app
I'm sorry to say this,wewe ni bogus sana tena kiaziKwa Tanzania tofauti kati ya unleaded, petrol au super ni majina tu ila mafuta ni yale yale, ukiona wameandika super sio kwamba ndo mazuri ila wameandika ili kuvutia wateja tu. Petrol station zote wananunua mafuta sehemu moja na bei ya kuuza wanapangiwa ila wengine wanaamua kuyaita unleaded wengine super au petrol ila hakuna tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei tofauti iko wapi wakati bei za kuuza wanapangiwa na ewura? Kama total mafuta yao ni tofauti na sheli zingine wajaribu kuuza bei juu zaidi ya iliopangwa na ewura.Sasa kama ni yaleyale mbona bei tofaut? Provided kwa vituo vya hapa dar nikimaanisha sio mbali na depot hivyo transportation fee haipo
Kwann total africana bei ni tofaut na camel oil ambayo ipo hapohapo upande wa pili wa barabara? Nijib swal we kBei tofauti iko wapi wakati bei za kuuza wanapangiwa na ewura? Kama total mafuta yao ni tofauti na sheli zingine wajaribu kuuza bei juu zaidi ya iliopangwa na ewura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ya bei ni ushindani wa biashara sio ubora wa mafuta. Mafuta yote yanaagizwa kwa pamoja na yanauzwa bei moja kwasababu mafuta yote ni yale yale hakuna tofauti . Baadhi ya sheli zinashusha bei ili kuvutia wateja. Jibu ndo hiloKwann total africana bei ni tofaut na camel oil ambayo ipo hapohapo upande wa pili wa barabara? Nijib swal we k
Tofauti ya bei ni ushindani wa biashara sio ubora wa mafuta. Mafuta yote yanaagizwa kwa pamoja na yanauzwa bei moja kwasababu mafuta yote ni yale yale hakuna tofauti . Baadhi ya sheli zinashusha bei ili kuvutia wateja. Jibu ndo hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok puma au total kuwa bora ni mtazamo wako tu mimi naongelea uhalisia. Mafuta ya total na kayumba oilcom ni yale yale hakuna kinachoongezwa wala kupunguzwa yote wanatoka sehem moja. Usifkiri kisa total ni kampuni ya wazungu ukadhani mafuta yao wanatoa ulaya. Total unazoona bongo zinaendeshwa na waarabu na waswahili hao hao wanaomiliki shel za kayumba wanatumia tu brand ya total.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo gari labda uliweka mafuta ya taa badala petrol ndo likakataa kuondoka.. Kuna watu wanaweka mafuta ya zaidi ya sh million moja kwa trip na wanaweka sheli yoyote tu wanacho angalia ni bei na huwezi kusikia semi trailer imekataa kuondoka kisa wameweka mafuta shel flani. Kwa bongo mafuta ni yale yale tu. Total, oilcom, puma na hizi shel ndogo za mtaani zote wananunua mafuta sehem moja
Sent using Jamii Forums mobile app