Nini Tofauti ya Leaded na Unleaded Petrol?

Nini Tofauti ya Leaded na Unleaded Petrol?

Mafuta yaliyochanganywa na lead kwasasa hayapo kabisa sokoni, baada ya lead kupigwa marufuku hapo kitambo. Ni vile tu jina la "unleaded" lilikua limezoeleka ndio maana kampuni nyingi hazikuliondoa na linaendelea kutumika, hivyo basi usiwe na mashaka kabisa petrol zote ni unleaded

Kuhusu namba za mafuta hizo zinaelezea mchanganyiko mpya ulioreplace lead, ntaelezea baadaye. Ila tu ni kwamba kila engine ina specific number ya mafuta hayo, nadhani ipo juu kwenye mfuniko wa tenki. Ukizingatia hiyo namba utaenjoy sana perfomance na efficiency ya injini yako, ila unapoignore haiharibu injini bali inashusha hivyo vitu na life span yake
Unaanzaje kuzingatia namba ya petrol kama za oil?? maana petrol inakuishia popote safarini unaangalia kituo kilichokaribbu nawe
 
Jamani nataka niseme jambo moja, juzi nmeweka mafuta mbagala pale waliandika SUPER nikasema hii super si ndo wanasem mazur (nikajisemea komoyo moyo), baada ya kuweka nikaenda nilipoenda nikapaki ilikuwa sio mabli ni kama nusu KM tu, nikapaki, nikaja kuiwasha kesho yake nikaanza safari, ila niliona gari ikiwa tofaut sana...
Tatizo ni uaminifu tu
 
Kuna chimbo lita 1750 mzinga pale wapo vizuri hayazingui kabisa bei mtere
Jamani nataka niseme jambo moja, juzi nmeweka mafuta mbagala pale waliandika SUPER nikasema hii super si ndo wanasem mazur (nikajisemea komoyo moyo), baada ya kuweka nikaenda nilipoenda nikapaki ilikuwa sio mabli ni kama nusu KM tu...
 
Kwa Tanzania tofauti kati ya unleaded, petrol au super ni majina tu ila mafuta ni yale yale, ukiona wameandika super sio kwamba ndo mazuri ila wameandika ili kuvutia wateja tu. Petrol station zote wananunua mafuta sehemu moja na bei ya kuuza wanapangiwa ila wengine wanaamua kuyaita unleaded wengine super au petrol ila hakuna tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Tanzania tofauti kati ya unleaded, petrol au super ni majina tu ila mafuta ni yale yale, ukiona wameandika super sio kwamba ndo mazuri ila wameandika ili kuvutia wateja tu. Petrol station zote wananunua mafuta sehemu moja na bei ya kuuza wanapangiwa ila wengine wanaamua kuyaita unleaded wengine super au petrol ila hakuna tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya kampuni ni waaminifu
Kuhusu mafuta kuja kwa bulky ni kweli, lakini baada ya hapo kila kampuni inatia vichanganyishi vyake tofauti, ndio maana unaona rangi za mafuta zinatofautiana kwa makampuni,
 
Kuna baadhi ya kampuni ni waaminifu
Kuhusu mafuta kuja kwa bulky ni kweli, lakini baada ya hapo kila kampuni inatia vichanganyishi vyake tofauti, ndio maana unaona rangi za mafuta zinatofautiana kwa makampuni,
Ile rangi inayowekwa kwenye petrol haina kichanganyishi chochote ni rangi tu wanaweka ili kutofautisha petrol na diesel au mafuta ya taa. Tena rangi yenyewe wanaweka kidogo sana vijiko viwili vya chai unaweza kuweka kwenye tank la lita 31,000 na rangi ikabadilika.. kusema kuna kampuni flani ndo wana mafuta mazuri kuliko wengine hilo sio kweli labda useme kuna baadhi ya sheli wana matank machafu ndo maana mafuta yao yanaonekana hayana ubora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina uhakika sana Kama Kuna petrol yenye lead kwa sasa , Mana kampuni nyingi zilikuja na additives ambazo ni salama zaidi, kwa mfano Total wana kitu kinaitwa excelium .

Neno super lilikuwa linamaanisaha leaded petrol, na ilikuwa ina rangi nyekundu, unleaded ilikuwa in rangi ya kijani, sijajua Kama neno super bado linamaanisha leaded petrol kwa sasa ama labda linamaanisha kitu kingine.

Sent
Hivi hii excelium inasafisha / kuimarisha kweli engine kilometer baada ya kilometer kama wanavyodai wenyewe hawa Total?
 
Unleaded ndio best, the. Super, hayo leaded sio mazuri na bei ndogo. Mara nyingi utaona wanaandika Petrol tu.

Baadhi ya magari yapo sensitive kiasi kwamba yanataka unleaded tu.

Hapo kuna mambo mengi mbali na uwepi wa lead (pb) kuna mambo ya namba za octane etc.
Kibongobongo tunataka wese la Bei rahisi hayo mengineyo mnajua nyie wasomi
 
Ile rangi inayowekwa kwenye petrol haina kichanganyishi chochote ni rangi tu wanaweka ili kutofautisha petrol na diesel au mafuta ya taa. Tena rangi yenyewe wanaweka kidogo sana vijiko viwili vya chai unaweza kuweka kwenye tank la lita 31,000 na rangi ikabadilika.. kusema kuna kampuni flani ndo wana mafuta mazuri kuliko wengine hilo sio kweli labda useme kuna baadhi ya sheli wana matank machafu ndo maana mafuta yao yanaonekana hayana ubora

Sent using Jamii Forums mobile app

Una ushahidi wa hili? Umeshatumia mafuta ya sheli za Puma mara ngapi?
 
Ile rangi inayowekwa kwenye petrol haina kichanganyishi chochote ni rangi tu wanaweka ili kutofautisha petrol na diesel au mafuta ya taa. Tena rangi yenyewe wanaweka kidogo sana vijiko viwili vya chai unaweza kuweka kwenye tank la lita 31,000 na rangi ikabadilika.. kusema kuna kampuni flani ndo wana mafuta mazuri kuliko wengine hilo sio kweli labda useme kuna baadhi ya sheli wana matank machafu ndo maana mafuta yao yanaonekana hayana ubora

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu takwimu zinazotolewa na serikali zikionesha kampuni fulani ina mafuta bora kuliko nyingine.
 
Vipi kuhusu takwimu zinazotolewa na serikali zikionesha kampuni fulani ina mafuta bora kuliko nyingine.

Msamehe bure, mara tank chafu mara hivi, ye ajue tu sio kila petrol station ni ya kununua mafuta.Kwa wamiliki wa magari mazuri na wanaopenda magari yao wanajua ila kama mtu anaendesha guta anaweka mafuta tu popote! Kuna gari ambazo ukiweka mafuta ya hovyo hata kuwaka haiondoki!
 
Msamehe bure, mara tank chafu mara hivi, ye ajue tu sio kila petrol station ni ya kununua mafuta.Kwa wamiliki wa magari mazuri na wanaopenda magari yao wanajua ila kama mtu anaendesha guta anaweka mafuta tu popote! Kuna gari ambazo ukiweka mafuta ya hovyo hata kuwaka haiondoki!
Watu wengi wanasema Puma,Total na Engen ndiyo wana mafuta yenye ubora...
Hili limekaaje...?

Nilinunua mafuta Puma kwwnye dumu ni mekundu,
Kuna siku nikanunua Engen kwwnye dumu ni meupe yanakaribua maji..

Ila kwa upande wangu binafsi, kuna kituo kimoja cha mafuta knaitwa Njake, kipo maenwo ya mianzini Arusha, nikuweka mafuta yao huwa nasikia gari yepesi sana...linachanganya vizuri sana.
 
Msamehe bure, mara tank chafu mara hivi, ye ajue tu sio kila petrol station ni ya kununua mafuta.Kwa wamiliki wa magari mazuri na wanaopenda magari yao wanajua ila kama mtu anaendesha guta anaweka mafuta tu popote! Kuna gari ambazo ukiweka mafuta ya hovyo hata kuwaka haiondoki!

Kweli mkuu....hili jambo la mafuta ni la kuzingatia mno,Leo asbhi nimeweka mafuta kwenye hizi petro station uchwara baada ya KM kadhaa tu gari inawasha taa ya check engine then kwenda kwa fundi kuifanyia diagnosis tatizo likaonekan ni mafuta niliyoweka
 
Kweli mkuu....hili jambo la mafuta ni la kuzingatia mno,Leo asbhi nimeweka mafuta kwenye hizi petro station uchwara baada ya KM kadhaa tu gari inawasha taa ya check engine then kwenda kwa fundi kuifanyia diagnosis tatizo likaonekan ni mafuta niliyoweka
Ina maana huwa hawakaguliwi au wanachakachua wakifikisha kituo cha mafuta
 
Back
Top Bottom