kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Hiyo red kibokoInatakiwa uwe umelipepa ili kuweza kuelewa CCM inavyofanya kazi
Nini tofauti ya hawa watu wawili katika medani sa siasa za CCM?
Kwanini jina la Pesambili lirudi ili hali yuko mahakami tayari kwa tuhuma vile vile?
Hivi tunaongozwa na CCM ya Vichaaaaa??
Fredrick Lameck Mwakalebela
Basil Pesambili Mramba
swali je endapo Mramba atachaguliwa alafu akapatikana na hatia kabla hajamaliza kipindi chake cha ubunge je hawaoni kurudia uchaguzi itatugharimu pesa nyingi na huku tunararamika hatuna hela kwanini wasisubiri maamuzi ya mahakama wameliaangalia hili
Mbona wengi tu wana tuhuma lakini wamepitishwa; Kikwete anausongo na majina ya watu wa Mbeya nini?
Mbona wengi tu wana tuhuma lakini wamepitishwa; Blandes anakesi ya rushwa mahakamani lakini nae kapitishwa!! Kikwete anausongo na majina ya watu wa Mbeya nini?
Sawa wote hawa siwanashitakiwa na kesi zao ziko mahakamani inakuwaje mmoja anatolewa
alafu mwingine anaachwa au monica mtandao?
Huyo mmoja tuhuma zake zipo kwenye kupata hicho cheo ila huyo mwingine anatuhuma kwenye kitu kisicho na uhusiano na anachogombea.