kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Wadau napata shida sana kuelewa ni nani anayestahili kuachwa ktk kikao cha CCM kilichotoa maamuzi ya mwisho juu ya nani apitishwe na nani aachwe, report ya SFO toka kule uingereza juu ya sakata la Radar inamtaja wazi Mgombea ubunge wa jimbo la Bariadi magharibi Endrew John Chenge ni yupi si mwadilifu kati yake na Mwakalebella? nisaidieni wadau wa Sheria