8691jakigili
Senior Member
- Mar 30, 2012
- 179
- 67
(1) Mimi nimepita chuoni, au (2) Chuo kimenipitia mimi!
Tafakari na ujibu ukilinganisha na wasomi wetu (kwa idadi kubwa) hapa Tanzania. Kuelimika ni kubadilisha tabia na mwenendo huku ukidhihirisha tabia na mwenendo huo katika jamii unayoishi. Hivi msomi hapa bongo ni kuwa na vyeti vya daraja "A" la ufaulu au ni msomi mwenyewe kuwa ni cheti cha elimu katika jamii husika? Kama idadi ya wasomi imeongezeka tangu tupate uhuru wa nchi, lakini maadui wa Taifa letu hatujaweza kuwatokomeza; na kibaya zaidi adui mwingine ameongezeka, yaani ufisadi (akijumuishwa katika watatu ujinga, umaskini na maradhi). Wasomi na elimu ya Tanzania inatatua nini?
Tafakari na ujibu ukilinganisha na wasomi wetu (kwa idadi kubwa) hapa Tanzania. Kuelimika ni kubadilisha tabia na mwenendo huku ukidhihirisha tabia na mwenendo huo katika jamii unayoishi. Hivi msomi hapa bongo ni kuwa na vyeti vya daraja "A" la ufaulu au ni msomi mwenyewe kuwa ni cheti cha elimu katika jamii husika? Kama idadi ya wasomi imeongezeka tangu tupate uhuru wa nchi, lakini maadui wa Taifa letu hatujaweza kuwatokomeza; na kibaya zaidi adui mwingine ameongezeka, yaani ufisadi (akijumuishwa katika watatu ujinga, umaskini na maradhi). Wasomi na elimu ya Tanzania inatatua nini?