Nini tofauti ya SSD, Cloud Storage & Virtual Storage?

Nini tofauti ya SSD, Cloud Storage & Virtual Storage?

Virtual storage ni network ya storage devices ambazo zinakuwa brought together na kuform network,ku-access data zako hapa pia itakubidi uwe part of that network nadhani kwa kifupi sana sijui kama nimeeleza vizuri
Juu nimekuelewa at least Ila hapa bado mkuu hapa sijaelewa ungetoa hata na mfano
 
Kiongozi hapa nashindwa nieleze vipi hili nieleweke maana kazi ngumu kweli lakini ngoja nifanye kwa namna nyepesi

Nimesema tofauti ya hizi tatu ni namna gani unaweza kuhifadhi data zako,kuzi-retrieve/download n.k

SSD ni device ambayo inatumika kuhifadhi data zako katika computer yako.Hizi data wewe utaweza kuzipata bila hata kuwa connected na wewe ndio mwenye admin rights zote kwahiyo una option kama deleting,editing and other data modification functions tofauti na clouding au virtualization.

Cloud storage ni kwamba kwa sababu labda una space ndogo kwenye kifaa chako unaweza ku-opt kuhifadhi data online(si lazima kwamba space ndogo ndio sababu pekee,hapana).Hii inakuwa hivi data zako zitakuwa hosted online na wewe itakubidi kuwa na vitu kama account kulingana na matakwa ya host wako,mfano google drive n.k.Account ndio inakuwa kama utambulisho wako katika network kwahiyo utaweza kutumia taarifa za account yako kuingia kwenye server za host wako na kudownload,kuview na kufanya ambayo yeye host atakuruhusu kufanya ukiwa mahali popote.

Virtual storage ni storage devices ambazo zinakuwa brought together na kuform network,ku-access data zako hapa pia itakubidi uwe part of that network nadhani kwa kifupi sana sijui kama nimeeleza vizuri
SSD inasoma kwenye Tv.? Mana yangu naona inagoma
 
Juu nimekuelewa at least Ila hapa bado mkuu hapa sijaelewa ungetoa hata na mfano
Ok ngoja hii nayo nione namna nyepesi ya kuilezea.Tufanye unakampuni yako.Unaweza kuwa na server ambayo inahost taarifa labda za clients wako(database maana yake) unaserver labda ambayo ina host website yako(kwa ajili ya kuwafikia wateja wako kwa wepesi).Hizi ni computer mbili sasa tumeona(moja ina host taarifa za wateja nyingine ina host taarifa za ukurasa au kurasa za tovuti yako)

Virtual storage inakuwa hivi.Client(a connected computer) ataweza ku-access hizi data kutokea sehemu moja bila kujali kwamba hizi taarifa zilikuwa hosted sehemu mbili tofauti.Kinachofanyika ni kwamba multiple storage devices are brought together in a network and all data accessed from only one server.Sijui kama nimeeleza tena vizuri kiongozi
 
1. SSD ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?

SSD ni storage device (kifaa cha kuhifazi data au taarifa kwa maana ya processed data), SSD in long term ni Solid State Disk.

SSD imekuja miaka ya hivi karibuni na kuwa mbadala wa HDD ambayo yenyewe in long term huitwa Hard Drive Disk, kwanini haya majina ya solid state na hard drive ni kwasababu SSD haina any moveable part ndani yake while HDD has, kitu kama disk plate with spindle for writing and reading of data.

Faida ya SSD
-Kwa kuwa SSD haina any moveable part ndani yake hivyo imekuwa smooth katika ku write and ku read data hence makes it very smooth in running ndio maana PC yenyewe SSD huwa ni very smooth.

2. Cloud storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?

Cloud storage ni mfumo wa kidigitali/kisasa wa uhifadhi wa data na taarifa katika mtandao ambapo hatuhitaji kifaa hifadhi tuwenacho physically (physically means tangible, touchable ). Kwa maana hiyo third party ndio ana miliki server yenye storage device ya kuhifadhi data na yeye anakupa access ya kuaccess hizo data zako.

Let say Kampuni A ana miliki cloud storage server yenye storage device and then anatoa service ya uhifadhi data then wewe atakupa access through network that is internet kuhifadhi data zako huko kwenye server yake aidha bure au kwa kukulipisha chochote kitu.

Faida ya cloud storage
-unaweza kuaccess data zako on the go, popote uendapo ilimradi tu una parameters na credentials za kuweza kufikia server ya third party wako kulingana na makubaliano yenu, mostly you will need an internet, credentials to access the servers, and maybe a fee that can be paid monthly or annually depends na makubaliano yenu.

3.Virtual storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?

Virtual storage, as a term virtual means not tangible, but in IT virtual storage maanake ni mkusanyiko wa physical storage devices (storage device nyingi kama SSD, HHD n.k) na kuanganishwa au kufanywa zionekane na kusoma katika mahali pamoja ambapo kitaalam tunaita SAN(Storage area network) nikama vile unafanya networking ambayo can be WAN, LAN, MAN. hizi storage ili ziwe SAN inabidi sasa ziwe na aidha RJ45 port, wireless, USB port (through shared) then inafanyika sharing mostly tunatumia server enabled - powered operating system.

Faida ya virtual storage
-Unaweza kuaccess data nyingi na zilizo sehemu tofauti tofauti kwa mara moja na within a minute.

Kwa kuongezea, cloud storage inaweza kuunganishwa katika virtual storage.

NB.
Zote kazi yake ni moja tu ambayo ni kuhifadhi data kwa kuwa zote ni storage tofauti ni mahali zilipo na utendaji wa kazi.

Asante.
 
1. SSD ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?

SSD ni storage device (kifaa cha kuhifazi data au taarifa kwa maana ya processed data), SSD in long term ni Solid State Disk.

SSD imekuja miaka ya hivi karibuni na kuwa mbadala wa HDD ambayo yenyewe in long term huitwa Hard Drive Disk, kwanini haya majina ya solid state na hard drive ni kwasababu SSD haina any moveable part ndani yake while HDD has, kitu kama disk plate with spindle for writing and reading of data.

Faida ya SSD
-Kwa kuwa SSD haina any moveable part ndani yake hivyo imekuwa smooth katika ku write and ku read data hence makes it very smooth in running ndio maana PC yenyewe SSD huwa ni very smooth.

2. Cloud storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?

Cloud storage ni mfumo wa kidigitali/kisasa wa uhifadhi wa data na taarifa katika mtandao ambapo hatuhitaji kifaa hifadhi tuwenacho physically (physically means tangible, touchable ). Kwa maana hiyo third party ndio ana miliki server yenye storage device ya kuhifadhi data na yeye anakupa access ya kuaccess hizo data zako.

Let say Kampuni A ana miliki cloud storage server yenye storage device and then anatoa service ya uhifadhi data then wewe atakupa access through network that is internet kuhifadhi data zako huko kwenye server yake aidha bure au kwa kukulipisha chochote kitu.

Faida ya cloud storage
-unaweza kuaccess data zako on the go, popote uendapo ilimradi tu una parameters na credentials za kuweza kufikia server ya third party wako kulingana na makubaliano yenu, mostly you will need an internet, credentials to access the servers, and maybe a fee that can be paid monthly or annually depends na makubaliano yenu.

3.Virtual storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?

Virtual storage, as a term virtual means not tangible, but in IT virtual storage maanake ni mkusanyiko wa physical storage devices (storage device nyingi kama SSD, HHD n.k) na kuanganishwa au kufanywa zionekane na kusoma katika mahali pamoja ambapo kitaalam tunaita SAN(Storage area network) nikama vile unafanya networking ambayo can be WAN, LAN, MAN. hizi storage ili ziwe SAN inabidi sasa ziwe na aidha RJ45 port, wireless, USB port (through shared) then inafanyika sharing mostly tunatumia server enabled - powered operating system.

Faida ya virtual storage
-Unaweza kuaccess data nyingi na zilizo sehemu tofauti tofauti kwa mara moja na within a minute.

Kwa kuongezea, cloud storage inaweza kuunganishwa katika virtual storage.

NB.
Zote kazi yake ni moja tu ambayo ni kuhifadhi data kwa kuwa zote ni storage tofauti ni mahali zilipo na utendaji wa kazi.

Asante.
Asante sana mkuu,
 
subiri namimi nitiririke

kwanza, SSD inameza wote hao, cloud na virtual storage

1. ungesema, tofauti ya SSD na HDD, ndhani ingeleta sense
HDD-inatumia usumaku kusoma na kuhifadhi data, hence iko slow
SSD-inatumia electrons kusoma na kuhifadhi data, hence iko fasta

2. kama una mtu yupo nje ya nchi (hata ndani), akaruhusu utumie computer yake(host computer) kuhifadhi data zako(mafaili yako), kwa internet, na una uwezo ya kuyapata hayo mafile popote pale ulipo kwa internet, then hiyo ni cloud storage

ikumbukwe hiyo host computer, ina SSD kwa ndani 🙂

3. virtual storage yenyewe
assume nna PC, ina storage yangu kawaida nilizozigawanya (physical storages zile Local Disk/Drive C, Local Disk/Drive D, etc) kisha nikaongeza Disk nyingine, niite Virtual Disk/Drive

Niki click hii Virtual Drive/Disk, nna access Local Disk nyingine toka computer nyingine iliyo chumba cha pili 🙂 ( over LAN au WLAN) au iliyo mbali kabisa nje ya nchi (over WAN ie: cloud based)
 
Back
Top Bottom