Tunachohitaji ni aina fulani hivi ya dikteta (kama kuna aina), mpenda maendeleo, anayejali haki za binadamu, mwenye uchungu na nchi yake na mwenye maono....mimi naamini kabisa kuwa katika kipindi cha miaka 10 akitokea mtu wa namna hiyo, nchi inaweza kubadilika in a good way nakuwa nchi yenye matumaini na si kinyume.
Labda itafutwe mitumbwi!Suala la vipaumbele limekuwa ni tatizo katika Taifa letu kwa muda mrefu.Tunataka tukimbizane na kasi ya ulimwengu bila kupima 'uwezo' wetu.Just think of rada,ndege ya prezidaa na mengine mengi tu.Jiulize waliopitisha maamuzi ya kununua 'anasa' hizo walikuwa hawajawahi kuziona adha hzi ambazo pia ni aibu.We need some new people with new vision.
..."mind the Gap" baina ya hizo crates na uwezo wa kuruka hao mabibi na mabwana ndipo utapogundua upeo wa akili za walengwa, na huyo kijana aliyejipatia 'ajira' ya chap chap...
BTW, Huyu mheshimiwa (mkanda nje na skuna zake) 'unadhani' aliruka salama bila kuyakanyaga hayo maji??? NEVER...
Hata serikali ikijenga miundo mbinu, ikiwemo better sewerage, bado wananchi hao hao watavitupa hovyo vifuko vya plastiki nk na tatizo kujirudia pale pale...
Tubadilike!!!
View attachment 3650
View attachment 3651
Ni vision inahitajika.........bila kujua nchi hii tunataka kwenda wapi mambo mengi tutakuwa tunapiga marktime tu.
Lakini na sisi wananchi nadhani tuna asilimia kubwa tunayochangia kwenye hizi messes kwa kuwa kwetu waoga wa kuhoji, kudai na kuwawajibisha viongozi wetu. May be uelewa ni mdogo au tatizo ni nini wenzangu mnisaidie.
...tunajua kabisa source ya matatizo yetu yote na umaskini ni viongozi wasio na vision, wazembe,wezi na wala rushwa,tunajua kabisa tunaweza kujiletea maendeleo wenyewe kwa kutumia akili zetu na resources tulizonazo,sasa naomba tusizunguke sana maana tatizo tunalijua na tuanze kutafuta njia rahisi ya kupambana nalo kwa sasa bila ya kuwa kwenye power,naamini technology inaweza kusaidia sana maana ukiangalia vizuri kashfa zote za Richmond,EPA,BOT Towers etc zilianza kama tetesi lakini zilishika moto baada ya watu na magazeti kuanza kupiga kelele na kutoa details bila woga through websites kama JF,vijarida vicheche kama vya mwanakijiji,internet radio,magazeti binafsi etc nafikiri technology ni powerful weapon ambayo itatuondolea hawa mafisadi na ninaamini ndio ilimwondoa Lowassa na kina Karamagi na hata hizi arrest za mafisadi ni kazi ya technology,naona tuendelee na hii kazi tunayoifanya na wenye DATA za ufisadi na majina ya wezi wetu wasiache kuziweka na kuzisambaza kila kona inayowezekana ili watu wote waone...soma topic kama ya National ID jinsi watu walivyoichambua in deep na kutoa kila sababu inayo make sense,nina uhakika JK akisoma mawazo ya mle atabadilisha mawazo na kutupilia mbali project nzima,nina uhakika kuna watu humu wanajua in full details line by line jinsi wizi unavyofanyika na majina ya wahusika kuanzia ikulu mpaka TRA,wizarani etc andikeni maana ndio msaada wenu wa kumaliza ufisadi....inauma sana wakuu 97% ya gold inaishia kwa wajanja halafu wanatuambia wametusaidia kutuchimbia visima,hizi dharau lazima ziishe!
sahiba,
Mkuu unaanza kuhofia hoja yako mwenye kabla hujaiweka... Hapa ni uwanja wa mjadala hakuna mtu anayeweza kuja juu na mashoka zaidi ya kupinga hoja yako kwa mifano iliyowazi..
Sasa kwa mfano unaposema foundation ya mwalimu ni ipi hiyo!..walioamua kuuza mashirika ni sisi wenyewe kinyume cha Ujamaa na waliouza ni viongozi ambao sisi wenyewe tuliwasdifia dhidi ya misingi ya mwalimu. Sasa iweje matokeo ya kubomoa misingi ile irudi tena kuwa tatizo ni misingi ya mwalimu..
Nambie hata kitu kimoja kiuchumi ambacho hadi leo hii utekelezaji wake unafuata Ujamaa!...
Source ya matatizo yetu ni foundation ile tuliowekewa na Mwalimu kubali ama kataa.Hadi tukubali hili ndio tutaweza kumove forward.Ukisema kweli kuhusu Mwalimu humu wanakujia juu na mashoka kama umeua, think twice.
SAHIBA,
Heshima mbele mkuu...kwa kweli inasikitisha sana ukiangalia picha kaka hizo hapo juu...We fikiria hapo ni katika jiji la Dar es salaam..vp kuhusu Mtwara,Singida,Lindi na mikoa mingine hali ikoje??...Na kuna watu wameajiriwa kwa ajili ya mipango miji,wanafanya nini hasa hawa???,Hivi serikali haiangalii haya????...Na tunakoelekea hali itazidi kuwa mbaya zaidi maana kipaumbele cha viongozi wetu wa kisiasa sasa hivi(mkumbo ambao mpaka watendaji wa serikali wameanza kuufuata) ni kuibuliana kashfa na wengine kuibuka na kuzijibu(badala ya kutatua matatizo ya kimsingi ya wananchi kama matatizo ya barabara,miundombinu ya maji safi na taka,elimu,afya nk)...Kazi ni kubwa sana MMK maana kilichopo sasa serikali kwa sasa badala ya kutauta matatizo ya msingi ya wananchi sasa ni kila kukicha inaibuka kashfa mara hii mara ile na viongoiz badala ya kufanya kazi wanakaa na kujiandaa/kuanza kujibu kashfa hizo..Tutafika kweli????,inasikitisha mno,fikiria Dunia ya sasa binadamu(ambaye ana hali mbaya mno kiafya) anapelekwa hospitali kwa mkokoteni unaovutwa kwa Punda ilhali kuna mzito yeye kazi yake ni kila siku kubadilisha mashangingi(magari ya kifahari)...nchi hii bwana aaaaaaaaaaaaaaaaargh....Ifikie kipindi wale tunaowapa dhamana ya kutuongoza watutendee haki jamani(kutuletea maendeleo) na si watunyonye(waingie madarakani klwa lengo la kuchuma/kutajirika na kutuacha wapiga kura tukitaabika kwa maisha magumu)....Watanzania tunahitaji kubadilika jamani(hata kama Miafrika ndivyo tulivyo).....Inasikitisha kwa kweli
Tatizo hapa ni uongozi ikiwa hii ndio njia pekee ya kumfikisha mgonjwa hospital maana kiongozi anashindwa hata kuwahamasisha wananchi wakaona umuhimu wa kuchangishana na kununua ambulance hata kama itachukua miaka miwili ama mitatu hili ni tatizo.viongozi haohao wanaongoza kuuza mashamba na viwanja vya wazi na kwa manufaa yao.,,,think twice.
SAHIBA.
Tatizo hapa ni uongozi ikiwa hii ndio njia pekee ya kumfikisha mgonjwa hospital maana kiongozi anashindwa hata kuwahamasisha wananchi wakaona umuhimu wa kuchangishana na kununua ambulance hata kama itachukua miaka miwili ama mitatu hili ni tatizo.viongozi haohao wanaongoza kuuza mashamba na viwanja vya wazi na kwa manufaa yao.,,,think twice.
SAHIBA.