...tunajua kabisa source ya matatizo yetu yote na umaskini ni viongozi wasio na vision, wazembe,wezi na wala rushwa,tunajua kabisa tunaweza kujiletea maendeleo wenyewe kwa kutumia akili zetu na resources tulizonazo,sasa naomba tusizunguke sana maana tatizo tunalijua na tuanze kutafuta njia rahisi ya kupambana nalo kwa sasa bila ya kuwa kwenye power,naamini technology inaweza kusaidia sana maana ukiangalia vizuri kashfa zote za Richmond,EPA,BOT Towers etc zilianza kama tetesi lakini zilishika moto baada ya watu na magazeti kuanza kupiga kelele na kutoa details bila woga through websites kama JF,vijarida vicheche kama vya mwanakijiji,internet radio,magazeti binafsi etc nafikiri technology ni powerful weapon ambayo itatuondolea hawa mafisadi na ninaamini ndio ilimwondoa Lowassa na kina Karamagi na hata hizi arrest za mafisadi ni kazi ya technology,naona tuendelee na hii kazi tunayoifanya na wenye DATA za ufisadi na majina ya wezi wetu wasiache kuziweka na kuzisambaza kila kona inayowezekana ili watu wote waone...soma topic kama ya National ID jinsi watu walivyoichambua in deep na kutoa kila sababu inayo make sense,nina uhakika JK akisoma mawazo ya mle atabadilisha mawazo na kutupilia mbali project nzima,nina uhakika kuna watu humu wanajua in full details line by line jinsi wizi unavyofanyika na majina ya wahusika kuanzia ikulu mpaka TRA,wizarani etc andikeni maana ndio msaada wenu wa kumaliza ufisadi....inauma sana wakuu 97% ya gold inaishia kwa wajanja halafu wanatuambia wametusaidia kutuchimbia visima,hizi dharau lazima ziishe!