Nini unachokikumbuka kwa mtu ambaye hayupo leo duniani

Nayakumbuka yote aliyonifanyia Baba yangu..alikuwa mwalimu wangu..faraja yangu..rafiki pia..miaka mitatu Sasa Naona Kama Jana..[emoji22]

Rest well Daddy..kabinti kako kadogo kanakukumbuka kila iitwapo leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Naamini nawe utakuwa Mama mwema kwa wanao. Wape upendo kma uliopewa na Dady
 
kuna tukio katika maisha ni zaidi ya kovu kwenye moyo!.
Kesho yako itakuwa vizr zaidi ya jana!
 


Mapendo na busara za wazazi wangu.
 
Pole babe... Mwanga wa milele umuangazie
 
Cause she's the girl that I never had She's the heart that I wanted bad
The song I heard on the radio That made me stop and think of her
And I can't, I can't, I can't concentrate anymore
And I need, I need, need to show her what her heart is for It's been mistreated badly
Now her world has started falling apart Falling apart

Jamie scott- unbreakable


I miss you
R.I.P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namkumbuka rafiki angu Josephine alikuwa akinipitia tuende kanisani. Ndiye alikuwa best friend kimtaani.....

Usiku mmoja nikapata taarifa ya msiba wake. I was shocked kwa kweli sbb aliumwa malaria tu 😢😢 aisee that night was very bad.
May your soul continue resting in Paradise J wangu.

Mwanga wa milele uwaangazie marehemu wote wapumzike kwa amani 🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…