Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
- Thread starter
- #21
Moyo huzizima na kufanya mikono ishindwe kuandika yaliyomo mtimani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo huzizima na kufanya mikono ishindwe kuandika yaliyomo mtimani
Ahsante, Mungu ananisaidia japo nikiwa katika hisia huzuni hunijaa.jaribu kusahau ndgu. Maisha ni safari isiyokuwa na mwenyewe.
Oooh! So sad
Dunia ni mwalimu tosha umupende usimpende lazima atufunde kwa mazuri hata mabayaAhsante, Mungu ananisaidia japo nikiwa katika hisia huzuni hunijaa.
Ila nipo jasiri kwa Uweza wa Mola.
Hakika M/kiti aliwatendea vyema watu wakeNamkumbuka mwenyekiti Mao,,alikuwa mzalendo kwelikweli wa nchi yake,,siku anafariki tuli Lia Hadi sauti ilikauka...
Aisee! Naamini nawe utakuwa Mama mwema kwa wanao. Wape upendo kma uliopewa na DadyNayakumbuka yote aliyonifanyia Baba yangu..alikuwa mwalimu wangu..faraja yangu..rafiki pia..miaka mitatu Sasa Naona Kama Jana..[emoji22]
Rest well Daddy..kabinti kako kadogo kanakukumbuka kila iitwapo leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikoni mkuu!
Hakika nitafuata Yale mema niliyofundishwa na babaAisee! Naamini nawe utakuwa Mama mwema kwa wanao. Wape upendo kma uliopewa na Dady
kuna tukio katika maisha ni zaidi ya kovu kwenye moyo!.Naikumbuka sauti yake kwa Mara ya mwisho.."kabinti kangu alhamisi narudi nyumbani tule pasaka pamoja"
Alhamisi ikafika namsubiri Baba sebuleni mdogo wangu ametoka kanisani kwenye ilikuwa alhamisi kuu..akaingia ndani ananiambia dada ..Baba kapata ajali..nilipatwa na bumbuwazi ninachokumbuka baada ya pale nikakimbilia chumbani nikapiga magoti nakusali.
Mama na dada na mdogo wangu wakaelekea hospital..baada ya muda wanarudi mama ananiambia kavae Dela maana nilikuwa na kitenge..nikajua tunaenda wote hospitali..naelekea sebuleni Naona Kaka zangu na vijana majirani wanatoa vitu nje...ile siku sitakaa niisahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulio wai kupoteza watu waliochangia leo kuwa kama tulivyo.
Wana Jf.
Katika kuishi tunakutana na watu wengi sana lakini wapo watu ambao kamwe hatuwezi kuwasahau pindi wanapo tangulia mbele ya haki (kifo).
Hii ni kutokana na sababu nyingi zikiwemo ukaribu, urafiki, undugu pengine Mahusiano yetu na matendo yao.
Nakumbuka Anko alifariki wiki 1 tu baada ya kuanza matibabu ya mkono wangu uliokuwa umevujika! Aliniacha bado sijapona ukweli niliumia na kulia sana japo haikubadili uhalisia.
nakukumbuka Anko X!
Japo nilipona badae ashukuliwe Mungu!
Karibuni wanajamvi kwa kile ulichowai kutendewa au kutenda kwa mtu ambaye hayupo duniani! Kupitia hilo ndio linakufanya umukumbuke!
Pole babe... Mwanga wa milele umuangazieNaikumbuka sauti yake kwa Mara ya mwisho.."binti yangu mdogo alhamisi narudi nyumbani tule pasaka pamoja"
Alhamisi ikafika namsubiri Baba sebuleni mdogo wangu ametoka kanisani kwenye ilikuwa alhamisi kuu..akaingia ndani ananiambia dada ..Baba kapata ajali..nilipatwa na bumbuwazi ninachokumbuka baada ya pale nikakimbilia chumbani nikapiga magoti nakusali.
Mama na dada na mdogo wangu wakaelekea hospital..baada ya muda wanarudi mama ananiambia kavae Dela maana nilikuwa na kitenge..nikajua tunaenda wote hospitali..naelekea sebuleni Naona Kaka zangu na vijana majirani wanatoa vitu nje...ile siku sitakaa niisahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vikutawale katika maisha yako na famila yako na taifa lakoMapendo na busara za wazazi wangu.