Nini unaweza fanya na pesa zilizotumika nunulia mtandao wa Twita takriban Trilioni 102 Tsh?

Nini unaweza fanya na pesa zilizotumika nunulia mtandao wa Twita takriban Trilioni 102 Tsh?

Hivi Huyu jamaa Overall yake(>$280Bil) hajazidi bajeti yetu kweli???

Any way me niangeanza kula mchana[emoji15

ukitaka kuamini tunapuyanga africa au tanzania,twitter ineuzwa 102 trillion bajeti yetu kwa mwala haivuki 40trillion[emoji2956][emoji2956]

kwamba baharia ana uwezo wa kuja kutununua mwaka mzima na akaturuhusu tulale tu bila kutoka ndani.

yaan huwa nawaza sijui akiwa anatuangalia anatuonaje hivi eti[emoji28][emoji28][emoji28]
Hivi wakisema budget etu Ni 21 T unadhani wamehesabu Hadi hela yako ya kula ee😁
 
1) Maji safi ya bomba kila kijiji

2) Hospital za kujifungulia akina mama zenye madaktari bingwa wanawake tu kila kijiji

3) Barabara kuu za lami za
kuunganisha kila wilaya nchi nzima

4) International school kila kijiji bila ada...





Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hizo hela Mbususu inakuwa sio kitu cha maana tena sababu zitajileta zenyewe za kila aina. Wala hata bila matumizi makubwa.
 
U
Siku chache baada ya tajiri mkubwa duniani kukamilisha ndoto yake ya kumiliki mtandao wa twita wengi wetu ambao hizo namba tunaona ni pesa za kawaida ila sio hivyo kwani tukija mezani unagundua hiyo pesa ya twita tu mwamba Elon musk akiamua tumia bilioni kila siku kwenye matumizi yake, kula kuvaa kuhonga, new ride kila siku wazee wa land cruiser Sasa hapo mchizi anaweza nunua lc 300 kila siku.

Yaani kifupi budget ya 1 bilion per day for the next 274yrs yes Ni miaka 274 ndo pesa hio itaisha kwa budget ya 1 bilion per day dah!

Hio budget wazee wa mbususu Sasa hio hela inatosha nunua mbususu zote za Dar, yes namaanisha mbususu zote za Dar unaweza nunua kwa miaka 274 ijayo.

Mimi Nina 5m bank na nimelala leo nimeridhika kabisa na haya maisha.
Masikini mbaya sana! Hizi ndiyo akili za wasomi na boda boda wetu very funny/
 
Hivi Huyu jamaa Overall yake(>$280Bil) hajazidi bajeti yetu kweli???

Any way me niangeanza kula mchana[emoji15]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu umenichekesha sana. Anyway mi ningeanza kunywa chai asubuhi
 
Siku chache baada ya tajiri mkubwa duniani kukamilisha ndoto yake ya kumiliki mtandao wa twita wengi wetu ambao hizo namba tunaona ni pesa za kawaida ila sio hivyo kwani tukija mezani unagundua hiyo pesa ya twita tu mwamba Elon musk akiamua tumia bilioni kila siku kwenye matumizi yake, kula kuvaa kuhonga, new ride kila siku wazee wa land cruiser Sasa hapo mchizi anaweza nunua lc 300 kila siku.

Yaani kifupi budget ya 1 bilion per day for the next 274yrs yes Ni miaka 274 ndo pesa hio itaisha kwa budget ya 1 bilion per day dah!

Hio budget wazee wa mbususu Sasa hio hela inatosha nunua mbususu zote za Dar, yes namaanisha mbususu zote za Dar unaweza nunua kwa miaka 274 ijayo.

Mimi Nina 5m bank na nimelala leo nimeridhika kabisa na haya maisha.
Kwahiyo amenunua kwa USD billion 40?!
 
Nitakua nanunua bundle ili niwe na tweet kila dakika...
 
Niwe na mtonyo mrefu hivo nianze kuwaza mbususu aisee.

Hicho hata kwenye mambo ya starehe hakiwezi kua kipaumbele changu coz ni bei chee sana kuzipata na kwasababu unakua na mijiconfidence ya kuzidi unaweza hata usiwe unatumia izo pesa kuwanasa.

Kwanza ni kuwaza unaisaidiaje jamii kwa huo mpunga mrefu lakini pia ulinzi wako binafsi maana binadamu hawana jema.
 
Siku chache baada ya tajiri mkubwa duniani kukamilisha ndoto yake ya kumiliki mtandao wa twita wengi wetu ambao hizo namba tunaona ni pesa za kawaida ila sio hivyo kwani tukija mezani unagundua hiyo pesa ya twita tu mwamba Elon musk akiamua tumia bilioni kila siku kwenye matumizi yake, kula kuvaa kuhonga, new ride kila siku wazee wa land cruiser Sasa hapo mchizi anaweza nunua lc 300 kila siku.

Yaani kifupi budget ya 1 bilion per day for the next 274yrs yes Ni miaka 274 ndo pesa hio itaisha kwa budget ya 1 bilion per day dah!

Hio budget wazee wa mbususu Sasa hio hela inatosha nunua mbususu zote za Dar, yes namaanisha mbususu zote za Dar unaweza nunua kwa miaka 274 ijayo.

Mimi Nina 5m bank na nimelala leo nimeridhika kabisa na haya maisha.
Kwahyo kitu cha thaman kwako ni mbususu tu
 
U

Masikini mbaya sana! Hizi ndiyo akili za wasomi na boda boda wetu very funny/
We are here for funny, skills mbali mbali nk, me unaesema Ni masikini naweza kuwa nimekuzidi kila kitu take care sister
 
Niwe na mtonyo mrefu hivo nianze kuwaza mbususu aisee.

Hicho hata kwenye mambo ya starehe hakiwezi kua kipaumbele changu coz ni bei chee sana kuzipata na kwasababu unakua na mijiconfidence ya kuzidi unaweza hata usiwe unatumia izo pesa kuwanasa.

Kwanza ni kuwaza unaisaidiaje jamii kwa huo mpunga mrefu lakini pia ulinzi wako binafsi maana binadamu hawana jema.
Jamii ipi? Kila mtu anapambana na serikali yake
 
Back
Top Bottom