Kuna series nyingi za Toyota land cruiser kuanzia f20, f30, f60, f70, f80, f90, f100 na F200. Katika matoleo yote f70 ndio toleo la Land cruiser limedumu kwenye uzalishaji mpaka leo na lina maisha bado. Kikubwa pamoja na kubadilika kwa technology ya transmission wao huwa hawana Automatic ni manual transmission tu.Huyu mnyama unakatiza naye barabara yoyote
View attachment 1629571
Mkuu kuna Land Cruiser series 70 LX na ZX zinakuja na mfumo wa Automatic Transmission ila injini ni ile ile 1HZ.Kuna series nyingi za Toyota land cruiser kuanzia f20, f30, f60, f70, f80, f90, f100 na F200. Katika matoleo yote f70 ndio toleo la Land cruiser limedumu kwenye uzalishaji mpaka leo na lina maisha bado. Kikubwa pamoja na kubadilika kwa technology ya transmission wao huwa hawana Automatic ni manual transmission tu.
Toyota wanaharibu ladha ya LX sasaMkuu kuna Land Cruiser series 70 LX na ZX zinakuja na mfumo wa Automatic Transmission ila injini ni ile ile 1HZ.
LX na ZX zenye automatic transmission ni zile toleo la Kwanza, sio hizi model mpya.Toyota wanaharibu ladha ya LX sasa
Wewe utakuwa unazungumzia gx ya miaka ya nyuma sana!Hata vioo vyake sio vya umeme, ni vile vya mannual za kuzungusha kwa handle
Hapana inawezekana kabisa, nimeendesha ford ranger za 2016 / 2017 version mbili tofauti kuna nyingine handle ya kupandisha window ni kuzungusha mpaka side mirror ni manual ila field shughuli yake ni nyingine. Na kuna version nyingine kila kitu ni umeme kuanzia seat adjustment, side mirror, na power window za kibabe tu.Wewe utakuwa unazungumzia gx ya miaka ya nyuma sana!
final product haiwez kuwa hiviLC 300 concept car View attachment 1630107
Yes, bado wanadesign ila inasemekana.final product haiwez kuwa hivi
Hii gari imeongezwa urefu?LC 300 Tetesi inaweza ingia sokoni 2020 mwishoni au 2021mwanzoni . Mzigo ukitoka tutaanza kuuona kwenye convoy za JPM
View attachment 1631645
Ndio cm 50Hii gari imeongezwa urefu?
Hizo herufi mkuu kama LX, GX etc zinaonesha body type! Na kuna body ambazo ziko limited kwa series fulani tu.
Kwa mfano, huwezi kuta VX body kwenye 70 series au LX body kwenye 200 series.
Upande wa luxuriousness,
kila series inakuwa na body lake kwa ajili ya luxury na body lingine ambalo Lina standard/common features.
Kwa mfano 100 series
-VX ina common features, luxury version yake ni Amazon
-cygnus ina common features, luxury version yake ni LX 470
Matairi ni makubwa, rimu yake pia imekaa kishamba ila ni ya kazi sio rimu ya kuuzia+1
Gx inakuwa ni very standard option with very limited features na Mara nyingi zinakuwa painted white
Na ndio land cruiser yenye Bei nafuu kwenye class yake , Vx pia zimegawanyika Kuna Vx na Vx-R hii ndio nighali zaidi kutoka Toyota , lakini pia Kuna lexus hii ni luxury segment ya toyota singapore , Hawa huwa wanachukua basic body za toyota na kuzi modify kuwa luxury zaidi
Kweli, hizo initial GX, GXL, VX, ni classes ndani ya kila series za land cruiser. Kwa toleo LC200 GX huwa ni full manual. Hata rims zake huwa ni steel na sio alloys na rangi yake mara nyingi ni white na ina mkonga (snorkel). Kuanzia GXL na matoleo mengine ya juu yanakuwa graded kulingana na vitu vya ziada vilivyokuwa installed ili kutoa luxury experience. V8 nyingi za MaDC huwa ni GX, kidogo MaRC ndio wanakuwa na GXL na VX. Na Mkuu anatumia limited Edition SAHARA Horizon. Namna ya kutofautisha GX, GXL, VX na SAHARA https://www.toyota.com.au/landcruiser-200+1
Gx inakuwa ni very standard option with very limited features na Mara nyingi zinakuwa painted white
Na ndio land cruiser yenye Bei nafuu kwenye class yake , Vx pia zimegawanyika Kuna Vx na Vx-R hii ndio nighali zaidi kutoka Toyota , lakini pia Kuna lexus hii ni luxury segment ya toyota singapore , Hawa huwa wanachukua basic body za toyota na kuzi modify kuwa luxury zaidi
Shukrani kwa marekebisho mkuu!P
Lx sio body type ......refer here
Prado zote nne so far kila kizazi neno TX linapatikana.. huwezi sema ni body type wakat zote nne ni body tofauti
Hizo herufi ni trim
Hii mbona iko kama Armoured version ya 200 series?Sioni utofauti hapo wa hio gari na anayotumia Magu sasa hivi.LC 300 Tetesi inaweza ingia sokoni 2020 mwishoni au 2021mwanzoni . Mzigo ukitoka tutaanza kuuona kwenye convoy za JPM
View attachment 1631645
Yes ndio yenyeweHii mbona iko kama Armoured version ya 200 series?Sioni utofauti hapo wa hio gari na anayotumia Magu sasa hivi.
Hapo nimekusoma mkuu.