Nini yalikuwa makosa katika Mechi ya Leo kwa Yanga dhidi ya Club Africaine?

Nini yalikuwa makosa katika Mechi ya Leo kwa Yanga dhidi ya Club Africaine?

Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya uwanja kipi hawakutimiza

Na ipi iwe way forward kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili
Waiombe msamaha Simba Kwa kupora ubingwa msimu uliopita Kwa mchongo
La sivyo laana
Itaendelea kuwatafuna
 
Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya uwanja kipi hawakutimiza

Na ipi iwe way forward kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili
Feiso na Azizi hawkucheza leo... nahisi Nabi angewaingiza tungepiga mtu kama ngoma!
 
hakuna makosa huo ni mpira bro
Ni kweli, ila matarajio hayakuwa matokeo haya wengi walitamani Yanga ishinde hapa nyumbani ili mechi ya mkondo wa pili iwe rahisi kwenda makundi kwa maana nyingine matokeo haya siyo mazuri sana
 
Makosa siyo ya leo.Makosa yametengenezwa ili kuuficha uhalisia wa timu.

Kosa la kwanza bahasha kwa waamuzi
Kosa la pili bahasha kwa wachezaji wa timu pinzani. Kosa la tatu bahasha kwa wachambuzi wa mchongo.

Kosa la nne kutoiheshimu Simba
Kosa la tano kutafuta sifa za kijinga unbeaten ya mchongo.

Kosa la sita kufanya mazoezi ya kushangilia badala ya mazoezi ya jinsi ya kufunga
Kosa la saba,kuajiri wachawi wote Tanzania na kuwapa kadi za utopolo ili muifunge Simba.

Msiporekebisha hayo,mashindano ya kimataifa waachieni wengine kama vike Simba na Namungo
JamiiForums1306464388.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga tunafuzu
Nyie makolo mtanyamaza tu
Nyie ni wachumba wetu
Tunapakata tukijisikia
Mtaleta malalamiko yenu hapa jukwaani trh 9
Tumbafu makolo minyelo mikia mbumbumbu wote
 
Utopwolo manyani,yanabweka bweka humu. Kwa uchawi tuu mtaifunga sana Simba
Anibwiten ya mafi
 
Yanga tunafuzu
Nyie makolo mtanyamaza tu
Nyie ni wachumba wetu
Tunapakata tukijisikia
Mtaleta malalamiko yenu hapa jukwaani trh 9
Tumbafu makolo minyelo mikia mbumbumbu wote
Hata kwa Al Hilal mlikuwa na kauli za kishujaa kama hizi lkn kilichowakuta wote mnakijua
 
Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya uwanja kipi hawakutimiza.

Na ipi iwe way forward kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili.
Yanga wana nafasi ya kufuzu kwa kumtoa Club Africain ikiwa kocha atakuwa Mgunda na watavalisha wachezaji wa Simba jezi za Yanga. Vinginevyo hakuna ushauri utaweza kusaidia.
 
Kosa ni Mayele, Morson na Kisinda,
Mayele pale kuna tatizo tena sio dogo... Inawezekana kabisa kuna jambo linaendelea kwa Mayele... Yanga wasipoliweka sawa tatizo ni kubwa... Mayele hachezi kwa Morali... Morrison hana uthubutu wowote ni kama vile pandikizi na ujinga mwingi... Kisinda ni kopo hili haina hata haja ya kujadili inaeleweka...
Hatutoboi
Mmalizieni Malipo yake ya Usajiri.
Bado anadai.
Mkimlipa atafunga magoli ya kutosha huko Tunisia.

Na kuwaingiza Shirikisho
 
Huu uzi ni maalumu kwa ajili ya kuangalia makosa mbalimbali kama wapi benchi la ufundi lilikosea aidha katika selection ya wachezaji walioanza, au sub au makosa ya wachezaji wenyewe ndani ya uwanja kipi hawakutimiza.

Na ipi iwe way forward kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili.
ni rahisi sana kuwakosia wachezaji na makocha,lakini kiuhalisia mambo kiwanhani ni magumu
 
Makosa siyo ya leo.Makosa yametengenezwa ili kuuficha uhalisia wa timu.

Kosa la kwanza bahasha kwa waamuzi
Kosa la pili bahasha kwa wachezaji wa timu pinzani. Kosa la tatu bahasha kwa wachambuzi wa mchongo.

Kosa la nne kutoiheshimu Simba
Kosa la tano kutafuta sifa za kijinga unbeaten ya mchongo.

Kosa la sita kufanya mazoezi ya kushangilia badala ya mazoezi ya jinsi ya kufunga
Kosa la saba,kuajiri wachawi wote Tanzania na kuwapa kadi za utopolo ili muifunge Simba.

Msiporekebisha hayo,mashindano ya kimataifa waachieni wengine kama vike Simba na Namungo
mna ushahidi na hayo msemayo?
 
Back
Top Bottom