Kakijana JF-Expert Member Joined Aug 8, 2021 Posts 726 Reaction score 3,345 Nov 3, 2022 #61 Waache propaganda za kushindana na Simba, watafaulu
Waminyato JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 2,197 Reaction score 4,525 Nov 3, 2022 #62 Tate Mkuu said: Kwa kikosi kama hiki, Yanga haiwezi kusumbuliwa na Waarab kamwe; 1. Diarra 2. Juma Shabani 3. Kibwana Shomari, 4. Dickson Job 5. Bangala 6. Aucho 7. Aziz Kii 8. Sure Boy, 9. Mayele, 10. Fei Toto, 11. Farid Mussa!! Click to expand... kwaiyo walinzi wa kati 4 na 5 unaweka vijeba tupu.Nabi akusikie aweke izo defence aone atakavyopasuka chini ya dakika 10 za kipindi cha kwanza.
Tate Mkuu said: Kwa kikosi kama hiki, Yanga haiwezi kusumbuliwa na Waarab kamwe; 1. Diarra 2. Juma Shabani 3. Kibwana Shomari, 4. Dickson Job 5. Bangala 6. Aucho 7. Aziz Kii 8. Sure Boy, 9. Mayele, 10. Fei Toto, 11. Farid Mussa!! Click to expand... kwaiyo walinzi wa kati 4 na 5 unaweka vijeba tupu.Nabi akusikie aweke izo defence aone atakavyopasuka chini ya dakika 10 za kipindi cha kwanza.
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Nov 3, 2022 #63 Waminyato said: kwaiyo walinzi wa kati 4 na 5 unaweka vijeba tupu.Nabi akusikie aweke izo defence aone atakavyopasuka chini ya dakika 10 za kipindi cha kwanza. Click to expand... Kuna lipi jipya hapo! Mbona mechi nyingi tu wamecheza, ikiwemo ya jana!!
Waminyato said: kwaiyo walinzi wa kati 4 na 5 unaweka vijeba tupu.Nabi akusikie aweke izo defence aone atakavyopasuka chini ya dakika 10 za kipindi cha kwanza. Click to expand... Kuna lipi jipya hapo! Mbona mechi nyingi tu wamecheza, ikiwemo ya jana!!
Natafuta Ajira JF-Expert Member Joined Mar 25, 2020 Posts 9,016 Reaction score 24,650 Nov 3, 2022 #64 Mbabani said: "√Muache kununua mechi za ndani, maana huwa mnashindwa kujua madhaifu yenu" Click to expand... Nusu fainal ya fa na ngao wapinzani walinunuliwa pia?
Mbabani said: "√Muache kununua mechi za ndani, maana huwa mnashindwa kujua madhaifu yenu" Click to expand... Nusu fainal ya fa na ngao wapinzani walinunuliwa pia?
Waminyato JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 2,197 Reaction score 4,525 Nov 3, 2022 #65 Tate Mkuu said: Kuna lipi jipya hapo! Mbona mechi nyingi tu wamecheza, ikiwemo ya jana!! Click to expand... mechi ya jana jamaa walitaka creen sheet tu shughuli rasmi itakua kule Utunisini.Nabi naamini ataweka vijeba kama ulivyoshauri ngoja tutaona kitakachotokea sasa.
Tate Mkuu said: Kuna lipi jipya hapo! Mbona mechi nyingi tu wamecheza, ikiwemo ya jana!! Click to expand... mechi ya jana jamaa walitaka creen sheet tu shughuli rasmi itakua kule Utunisini.Nabi naamini ataweka vijeba kama ulivyoshauri ngoja tutaona kitakachotokea sasa.