Ninunue gari ipi Mazda CX-5, Forester, Mitsubishi outlander,xtrail new moder

Ninunue gari ipi Mazda CX-5, Forester, Mitsubishi outlander,xtrail new moder

Nimegundua baadhi ya member huwa WANAJAMBISHA wakijifanya wananunua magari kumbe ni wazushi Tu...
Kuna member mmoja kilasiku kazi yake kuulizia magari kumbe ni mzushi Tu hata Jana amewachosha watu na Subaru au outlander..
Wiki iliyopita alikuwa anaulizia gari la budget ya million 4 wakati miezi miwili ya nyuma alikuwa anahitaj discovery 4
😁😁😁😁
 
GUnia la misumari kaka hilo litakuchana mgongo 😂😂
Mazda CX 5 Diesel engine CC 2200 utaenjoy sana kwenye ulaji wake wa mafuta.Hata muonekano wake ni wa kibabe sana.

Sijajua kwenye uimara na upatikanaji wake wa vipuri ukoje.
 
Duuuuu nenda rav 4 .....juu ya kili time sijui inaitwaje hutajutaas.....kwingine maumivuu hela unga unga utahangaikaaaa
 
Watu wanasifia gari kwa muonekano ila ukweli ni kwamba mazda kwenye durability ni uongo linawahi kuchoka sio body sio mashine kumiliki mazda x5 hakuna tofauti na kumili BMW kitu kidogo lazima uite fundi gari zina mashart kama ziliundwa na waganga sisemi ni gari mbaya ila kibongo bongo utawanufaisha tu mafundi wa mitaani leo nimeona mazda X5 namba EHQ inatoa moshi mweusiii bomba la moshi linamwanga vimaji sijui oil. Mwamba namshauri bora akaenda kwenye outlander ama iyo xtrail new model ila kuchukua X5 heri ukanunue toyota vanguard au harrier
 
Watu wanasifia gari kwa muonekano ila ukweli ni kwamba mazda kwenye durability ni uongo linawahi kuchoka sio body sio mashine kumiliki mazda x5 hakuna tofauti na kumili BMW kitu kidogo lazima uite fundi gari zina mashart kama ziliundwa na waganga sisemi ni gari mbaya ila kibongo bongo utawanufaisha tu mafundi wa mitaani leo nimeona mazda X5 namba EHQ inatoa moshi mweusiii bomba la moshi linamwanga vimaji sijui oil. Mwamba namshauri bora akaenda kwenye outlander ama iyo xtrail new model ila kuchukua X5 heri ukanunue toyota vanguard au harrier
Source: Trust me Bro!
 
Wakuu naleta kwenu wataalamu wa magari ninunue gari ipi Kati ya hizo hapo au nje ya hizo gari nilizotaja bajeti ya yangu ni 25-27m
Ondoa x trail hapo! Hiyo maxda cx5 inaanzia 35 millions, outlander gari nzuri kwa budget yako au ningekushauri uchukue kulluger
 
hizi dalili za roho mbaya kabisa🤣🤣
Kwani passo sio gari, hii gari mimi ni mara ya 2 kuimiliki, nina safari nyungi sana za dar mwanza na huwa naitumia voz kila miezi 3 lazima nisafiri nayo. And kwa wiki mizunguko yangu huwa haipungui 500 km
 
Nimegundua baadhi ya member huwa WANAJAMBISHA wakijifanya wananunua magari kumbe ni wazushi Tu...
Kuna member mmoja kilasiku kazi yake kuulizia magari kumbe ni mzushi Tu hata Jana amewachosha watu na Subaru au outlander..
Wiki iliyopita alikuwa anaulizia gari la budget ya million 4 wakati miezi miwili ya nyuma alikuwa anahitaj discovery 4
Huku wengi wapo Halmashauri hamna dili zaidi ya ushuru kwenye magulio
 
Kama unahitaji mwendo wa ngiri ....nunua Subaru Forester yenye turbo....
 
Back
Top Bottom