Ninunue gari ipi Mazda CX-5, Forester, Mitsubishi outlander,xtrail new moder

Ninunue gari ipi Mazda CX-5, Forester, Mitsubishi outlander,xtrail new moder

Watu wanasifia gari kwa muonekano ila ukweli ni kwamba mazda kwenye durability ni uongo linawahi kuchoka sio body sio mashine kumiliki mazda x5 hakuna tofauti na kumili BMW kitu kidogo lazima uite fundi gari zina mashart kama ziliundwa na waganga sisemi ni gari mbaya ila kibongo bongo utawanufaisha tu mafundi wa mitaani leo nimeona mazda X5 namba EHQ inatoa moshi mweusiii bomba la moshi linamwanga vimaji sijui oil. Mwamba namshauri bora akaenda kwenye outlander ama iyo xtrail new model ila kuchukua X5 heri ukanunue toyota vanguard au harrier
Nunua mandoline, dunia ya leo gari hazipugwi hendeli, ni umeme kwenda mbele,huwezi kukwepa hilo
 
Hyo xd engine ipo vizuri sana maana ya kwangu ni XD version hii ni aina ya engine ya Mazda cx-5 ambayo iliboreshwa kuondoa makosa ya miaka iliyopita
 
Rav 4 toleo la kwanza aka rav 4 Massawe ndio gari ya uhakika. Safari popote, haina kuremba
🤣🤣🤣 cjickii kucheka…

Cjui huu upumbavu aliturithisha nani? Unakuta kijana mtanashati anaendesha RAV4 old, gari inasit ngumu km mabench, technology iliopo n gage y mafuta tuu na door unlock

Ukimuuliza, eti ooh durable…. durable my ass?
 
🤣🤣🤣 cjickii kucheka…

Cjui huu upumbavu aliturithisha nani? Unakuta kijana mtanashati anaendesha RAV4 old, gari inasit ngumu km mabench, technology iliopo n gage y mafuta tuu na door unlock

Ukimuuliza, eti ooh durable…. durable my ass?
Safari popote ile… ukiamka asubuhi ni kuangalia engine oil iko Poa, coolant, power steering na brake fluid.
Haina mambo mengi
 
Hv cx 5 unaipta kwa mil 27?
Ndio
Screenshot_20241114-235858_Chrome.jpg
 
Chukua Rav 4 Kili time. Katika hizo gari hapo bora Subaru utakuwa na uhakika wa kuiuza ukichoka ila sio hizo zingine.
 
Binafsi kigezo changu cha kununua gari kwanza uimara, upatikanaji wa spare na mafundi na pili resale value. Mambo ya kununua gari kwa kigezo cha muonekano, uniqueness nimewaachia vijana wa mjini, bado wana ushamba wa magari.
Watu wanachukua vyombo kwa fashion.😂
 
Nimegundua baadhi ya member huwa WANAJAMBISHA wakijifanya wananunua magari kumbe ni wazushi Tu...
Kuna member mmoja kilasiku kazi yake kuulizia magari kumbe ni mzushi Tu hata Jana amewachosha watu na Subaru au outlander..
Wiki iliyopita alikuwa anaulizia gari la budget ya million 4 wakati miezi miwili ya nyuma alikuwa anahitaj discovery 4
Mkuu Mimi mtu kama huyo namuelewa. Ukiwa unapambana kutafuta gari ya kwanza au chochote, first time, maswali ni mengi sana. Ukichukulia kwamba barabarani anaona magari mengi na kila anayemuomba Ushauri anampatia tofauti. It’s like seeking validation kwa maamuzi yako. Na ukichukulia ni hii pesa yetu ya sa100 ya kuungaunga, namuelewa sana huyo jamaa.
 
Mkuu Mimi mtu kama huyo namuelewa. Ukiwa unapambana kutafuta gari ya kwanza au chochote, first time, maswali ni mengi sana. Ukichukulia kwamba barabarani anaona magari mengi na kila anayemuomba Ushauri anampatia tofauti. It’s like seeking validation kwa maamuzi yako. Na ukichukulia ni hii pesa yetu ya sa100 ya kuungaunga, namuelewa sana huyo jamaa.
Ni Sahihi kabisaa, maana wasiwasi ndiyo Akili siwezi kulaumu sana
 
Wazee wa Mazda CX5 za Diesel sikilizeni hii clip.

 
Back
Top Bottom