Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Bora ununue mpya moja kuliko ununue bajaj chakavu mbili za 3M utalia na unaweza ukaisusa gereji au ukazipaki nyumbani maana utakua umefunga nazo ndoa ya kikristo hautapata mteja wa kumuuziaUmeongea bonge la point, kweli mkoani bajaji used zipo nyingi ukibahatika ya 3M ni kama mpya