Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
?? kama sijaelewa hapa!hapo jan japan namanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
?? kama sijaelewa hapa!hapo jan japan namanga
NMB na CRDB wanatoa mikopo ya bajaj,nadhani masharti yao ni elfu 18 kwa siku au laki na26 kwa wiki ndani ya miezi 18,kwa namna hii kama dereva ni wewe mwenyewe itakulipa maana utakua na uhakika wa kuingiza zaidi ya elfu 20 kwa siku ila kama utampa mtu akuletee elfu 20 ailipi,but kiuhakika zaidi tembelea branches za hizo benki kwa kujiridhisha zaidiNasikia kuna mikopo ya bajaj inatolewa bank Inakuwaje hapo
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Ahsante sana.NMB na CRDB wanatoa mikopo ya bajaj,nadhani masharti yao ni elfu 18 kwa siku au laki na26 kwa wiki ndani ya miezi 18,kwa namna hii kama dereva ni wewe mwenyewe itakulipa maana utakua na uhakika wa kuingiza zaidi ya elfu 20 kwa siku ila kama utampa mtu akuletee elfu 20 ailipi,but kiuhakika zaidi tembelea branches za hizo benki kwa kujiridhisha zaidi
Hapo nilikuwa namshauri sehemu ya kununua gari kampuni inaitwa jan japan ipo maeneo ya namanga karibu na best bite?? kama sijaelewa hapa!
maendeleo bank wanatoa hiyo mikopo sharti moja wapo lazima ufungue akaunt kwenye bank yao alafu, kuna kiasi cha fedha unatakiwa kuweka..Nasikia kuna mikopo ya bajaj inatolewa bank Inakuwaje hapo
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Kuna mmoja kati yenu anatumia makalio kufikiriSoma statement yake vizuri halafu kati ya mimi au wewe nani anatakiwa atumie akili