Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Wewe c unakaa mvuti dondwe uko..sema unakaa ndichijapo nakaa huko, ila hapana aisee
squatters ndiyo kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe c unakaa mvuti dondwe uko..sema unakaa ndichijapo nakaa huko, ila hapana aisee
squatters ndiyo kwake
Kwenye ramani.Habari wakuu ñina mpango wa kununua kiwanja Dar ukubwa wa sqm 800 katika maeneo kati ya mbezi, kigamboni chanika chamazi bajeti yangu million 10 au kibaha
Sehemu gani itakua nzuriii ambayo haitakua kushoto kwa muelekeo wa Tanga
Acha hizo bwana inamaana hata mimi ni Kigogo!Vigogo wengi wa chama na serikali kwa sasa wananunua maeneo ya Chanika. Fuata mkondo...
Mbona mara kwa mara unaitaja Dondwe ,tufahamiane huko ndiko nilikojichimbia unapita gereza,pale kwenye ka center alafu unaenda mbeleWewe c unakaa mvuti dondwe uko..sema unakaa ndichi
Nimenunua maeneo ukoMbona mara kwa mara unaitaja Dondwe ,tufahamiane huko ndiko nilikojichimbia unapita gereza,pale kwenye ka center alafu unaenda mbele
OkNimenunua maeneo uko
Kuna sehemu inaitwa Msumi ni dakika kadhaa kutoka stendi ya Magufuli...Kuna hewa Safi sana...Habari wakuu ñina mpango wa kununua kiwanja Dar ukubwa wa sqm 800 katika maeneo kati ya mbezi, kigamboni chanika chamazi bajeti yangu million 10 au kibaha
Sehemu gani itakua nzuriii ambayo haitakua kushoto kwa muelekeo wa Tanga
Yuko sahihi kwa Mpigi magoe Msumi hata Mbopo na nyuma ya KisaukeMdanganye mwenzio wakampige yaan upate sgm 800 kwa 10m? Maeneo kimara mbezi makabe...labda ungshauri aende kibaha labda
Sure mkuu jambo la msingi sanaUsisahau wakati wa kuchagua kiwanja sehemu ya kwenda kuanzisha mji na familia yako hakikisha unazingatia aina ya majirani wanaokuzunguka
Nenda Land General planning, Ofisi zao zipo kibaha jengo la CCM MKOAMim natafuta connection na zile compuni zinauza viwanja zisizo na magumashi
MapingaHabari wakuu ñina mpango wa kununua kiwanja Dar ukubwa wa sqm 800 katika maeneo kati ya mbezi, kigamboni chanika chamazi bajeti yangu million 10 au kibaha
Sehemu gani itakua nzuriii ambayo haitakua kushoto kwa muelekeo wa Tanga
Bagamoyo...mpaka wa Dar na BagamoyoIko wapi hii